Dk Kilahama: Athari za mazingira sasa zinavuruga uchumi nchini
Utafiti uliofanywa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kutumia mradi wake wa Tathmini ya Rasilimali za Misitu, 2013 unaonyesha kuwa tani milioni moja za mkaa kila mwaka hutokana na ukataji wa misitu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Athari za mazingira mabaya kwa mjasiriamali
Katika moja ya makala zangu za kipindi cha nyuma, niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Leo nazungumzia kinyume chake. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabaya ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.
9 years ago
Michuzi10 Oct
KEMIKALI ZIKITUMIKA IPASAVYO ZITAPUNGUZA ATHARI KWA WATU NA MAZINGIRA.
(Na Jovina Bujulu- MAELEZO)Kukosekana kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbali mbali hapa nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUJADILI TAARIFA YA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIJAMII NA MAZINGIRA YA MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA NGERENGERE HADI KIDUNDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Y0Wp3JaPq8/UyR7z9b5AAI/AAAAAAAFToM/RlDSEiEDTQI/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mkapa: Kuboresha mazingira ya biashara kutachochea ukuaji uchumi
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa anaamini Bara la Afrika linahitaji kuongeza juhudi katika kuboresha mazingira ya biashara.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
10 years ago
VijimamboHALI YA UCHUMI TANZANIA SASA NI SHWARI
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Sekta binafsi sasa yashika uchumi EAC
Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Richard Sezibera amesema nchi wanachama wa jumuiya hiyo zinajengwa na sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya uchumi wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania