Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA

 Mkurugenzi wa Angels Moments inayoendesha Kampeni ya Mwanamke na Uchumi, Naima Malima akitoa hotuba ya ufunguzi wa kampeni hiyo iliyofanyika mkoani mwanza hivi karibuni. Kampeni hiyo yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wanawake wajasiriamali ambapo kampeni hiyo itafanyika mkoani Tanga Mwezi Oktoba. Picha na Angels Moments. Mshairi maarufu bibi sauda akitoa burudani ya mashairi yake adhimu kwa lugha ya kufurahisha na burudani kwa wanawake wajasiliamali katika kampeni ya mwanamke na uchumi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI

Mkurugenzi wa Kampuni ya Angels Moment, Naima Malima akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi uliofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga,  Abdallah Kihato na Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba. (Picha na John Dande)Mkuu wa  Wilaya ya Mkuranga,  Abdallah Kihato akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi lililofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA

Waziri wa Maendeleo Jamii Jinsia na Watoto Mh Sophia Simba akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi iliyo andaliwa na NGO ya Angels Moment Co. ltd kwa ajili ya kumkomboa mwanamke wa Kitanzania uzinduzi huo umefanyika katika Hotel ya Dodoma. Mkurugenzi wa Angels Moment co. ltd Naima Malima akisoma risala ya kuelezea madhumuni ya uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi sherehe hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wabunge na pamoja na baadhi ya Mawaziri Burudani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vitalazimika kufanya mabadiliko katika safu zake za uongozi kutokana na athari zilizosababishwa na mabadiliko yaliyofanywa na Rais Jakaya Kikwete katika Baraza la Mawaziri.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma

PAMOJA na kujinasibu kwamba Dodoma ndiyo Makao Makuu ya Serikali ya Tanzania, lakini inaonekana dhana hiyo ni ya kufikirika ambayo imejawa na matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi kwa miaka 39 sasa. Mwandishi Wetu DANIEL MBEGA anachambua kwa kina suala hilo na nini Watanzania wategemee. “MAJENGO yanazidi kufumuka kama uyoga, lakini viongozi wa serikali wanapenda anasa na kuamua kubaki Dar es Salaam upepo wa Pwani unakovuma, hawataki kuja kula vumbi la huku Dodoma,” Elibariki Njau (64)...

 

9 years ago

Bongo5

Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa

Richard-1

Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.

Richard-1

Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.

“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...

 

10 years ago

Michuzi

CHANGAMKIENI FURSA ZA MWANAMKE NA UCHUMI - MH. DENDEGO

Na Christian Gideon, Angels moment.
Wanawake wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kujitokeza na kuchangamkia fursa zitakazotolewa na kampeni ya mwanamke na uchumi inayotarajiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi ujao mkoani Tanga ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni ya Angels Moment ya jijini Dar Es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mheshimiwa Halima Dendego amesema fursa zitakazotolewa ni fahari kwa wanawake na wajasiriamali wa mkoa huo kwani elimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia

KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPSC Tanga chachu ya ukuaji wa uchumi

“MAFUNZO haya ni muhimu sana kwa viongozi wetu katika kuhakikisha wanasimamia fedha za walipa kodi ipasavyo.” Hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke wa Tanga akutwa na bangi Zanzibar

MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Mwanaisha Is-haqa Ayoub (40) mkazi wa Tanga anashikiliwa na polisi baada ya kukamatwa na mafurushi 22 ya majani makavu yanayosadikiwa kuwa ni bangi akitoka Tanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani