KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA
Mkurugenzi wa Angels Moments inayoendesha Kampeni ya Mwanamke na Uchumi, Naima Malima akitoa hotuba ya ufunguzi wa kampeni hiyo iliyofanyika mkoani mwanza hivi karibuni. Kampeni hiyo yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wanawake wajasiriamali ambapo kampeni hiyo itafanyika mkoani Tanga Mwezi Oktoba. Picha na Angels Moments.
Mshairi maarufu bibi sauda akitoa burudani ya mashairi yake adhimu kwa lugha ya kufurahisha na burudani kwa wanawake wajasiliamali katika kampeni ya mwanamke na uchumi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X6QBc_DtFIo/U_c8gU7YPeI/AAAAAAAGBa8/Eomx5aPMUoA/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHq7iCqRF_w/U_c8h4tnlGI/AAAAAAAGBbE/Hk4z1P6NrZs/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma
9 years ago
Bongo512 Nov
Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa
![Richard-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Richard-1-300x194.jpg)
Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.
Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.
“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oooYRp-4kWs/VE-x2lswV_I/AAAAAAAGt3k/bsnvkKWwKkc/s72-c/unnamedF2.jpg)
CHANGAMKIENI FURSA ZA MWANAMKE NA UCHUMI - MH. DENDEGO
Wanawake wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kujitokeza na kuchangamkia fursa zitakazotolewa na kampeni ya mwanamke na uchumi inayotarajiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi ujao mkoani Tanga ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni ya Angels Moment ya jijini Dar Es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mheshimiwa Halima Dendego amesema fursa zitakazotolewa ni fahari kwa wanawake na wajasiriamali wa mkoa huo kwani elimu...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia
KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
TPSC Tanga chachu ya ukuaji wa uchumi
“MAFUNZO haya ni muhimu sana kwa viongozi wetu katika kuhakikisha wanasimamia fedha za walipa kodi ipasavyo.” Hiyo ni kauli ya Mkurugenzi wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi...
11 years ago
Habarileo27 Feb
Mwanamke wa Tanga akutwa na bangi Zanzibar
MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Mwanaisha Is-haqa Ayoub (40) mkazi wa Tanga anashikiliwa na polisi baada ya kukamatwa na mafurushi 22 ya majani makavu yanayosadikiwa kuwa ni bangi akitoka Tanga.