Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa
Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.
Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.
“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Richard Bezuidenhout wa Big Brother atangaza kurudi kwenye ulimwengu wa filamu
![Richard-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Richard-1-300x194.jpg)
Baada ya kutosikika kwa muda mrefu, mwakilishi wa Tanzania na mshindi wa msimu wa pili wa shindano la Big Brother Africa la mwaka 2007, Richard Bezuidenhout ametangaza kuvunja ukimya huo na kurejea kwenye ulimwengu wa filamu.
Richard ametumia akaunti yake ya Instagram kutangaza kuwa anarudi kwenye filamu. “Najua nilikua kimya saaaana. Sasa narudi rasmi kwenye muvies… stay tuned” aliandika Richard na kupost picha akiwa location.
On location of “mchumba sio atm machin”- Richard
Richard...
10 years ago
Bongo511 Sep
Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?
9 years ago
Bongo524 Nov
Fella aeleza kwanini amemshauri Berry Black kuhamia Dar
![f_13](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/f_13-300x194.jpg)
Meneja wa Mkubwa na Wanae, TMK Wanaume Family pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema amemshawishi msanii wake mpya Berry Black kutoka Zanzibar na kuhamia Dar es salaam ili kuwa karibu na vyombo vya bahari.
Mkubwa Fella, ameiambia Bongo5 kuwa uwamuzi wa Berry Black kuishi Dar, kutamsaidia msanii huyo kusambaza kazi zake vizuri kwa kuwa yupo karibu na vituo vya habari.
“Muziki ni popote lakini tatizo ni usambazaji, ndo maana tukaamua ahamie hapa Dar ili tuweze kusambaza kazi zake hata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qQ_Hi7iTbZY/VBrViX08P2I/AAAAAAAGkRk/MIIgGOfMKr4/s72-c/BigBrotherHotshots_med.jpg)
Big Brother Hotshots revealed
![](http://4.bp.blogspot.com/-qQ_Hi7iTbZY/VBrViX08P2I/AAAAAAAGkRk/MIIgGOfMKr4/s1600/BigBrotherHotshots_med.jpg)
In a bold and ground breaking move, M-Net and series producers Endemol SA will be delivering a new world first by unveiling the names of the participating housemates live on the official Big Brother website which launches at 14h00 CAT on Wednesday 17 September.
Three Big Brother housemates will be introduced on a daily...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MBtHLqmI6t3s781SlkJWJuSEKLAfjqOPe9zXCrc6416qRLre2sQmbKnfjtX6zmKnqG8vk0L8zjP4swp01hJ2fcBMJELVAGLA/BBAMpya.jpg?width=650)
MTANZANIA ATOLEWA BIG BROTHER
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yqJVLUYqcT8/VAbcWMReGBI/AAAAAAAGccE/LopcqKMewMQ/s72-c/image001.png)
10 years ago
TheCitizen31 Jul
Big Brother Africa takes a break
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79593000/jpg/_79593810_79580491.jpg)
Big Brother Africa winner's 'joy'