Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa

Richard-1

Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.

Richard-1

Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.

“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Richard Bezuidenhout wa Big Brother atangaza kurudi kwenye ulimwengu wa filamu

Richard-1

Baada ya kutosikika kwa muda mrefu, mwakilishi wa Tanzania na mshindi wa msimu wa pili wa shindano la Big Brother Africa la mwaka 2007, Richard Bezuidenhout ametangaza kuvunja ukimya huo na kurejea kwenye ulimwengu wa filamu.

Richard-1

Richard ametumia akaunti yake ya Instagram kutangaza kuwa anarudi kwenye filamu. “Najua nilikua kimya saaaana. Sasa narudi rasmi kwenye muvies… stay tuned” aliandika Richard na kupost picha akiwa location.

Richard-2
On location of “mchumba sio atm machin”- Richard

Richard...

 

10 years ago

Bongo5

Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?

Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Fella aeleza kwanini amemshauri Berry Black kuhamia Dar

f_13

Meneja wa Mkubwa na Wanae, TMK Wanaume Family pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema amemshawishi msanii wake mpya Berry Black kutoka Zanzibar na kuhamia Dar es salaam ili kuwa karibu na vyombo vya bahari.
f_13

Mkubwa Fella, ameiambia Bongo5 kuwa uwamuzi wa Berry Black kuishi Dar, kutamsaidia msanii huyo kusambaza kazi zake vizuri kwa kuwa yupo karibu na vituo vya habari.

“Muziki ni popote lakini tatizo ni usambazaji, ndo maana tukaamua ahamie hapa Dar ili tuweze kusambaza kazi zake hata...

 

10 years ago

Michuzi

Big Brother Hotshots revealed

Fans of Africa’s biggest reality show, Big Brother Africa, will no longer have to wait in anticipation until the launch on the 5th of October to meet the Big Brother Hotshots. 
In a bold and ground breaking move, M-Net and series producers Endemol SA will be delivering a new world first by unveiling the names of the participating housemates live on the official Big Brother website which launches at 14h00 CAT on  Wednesday 17 September.
Three Big Brother housemates will be introduced on a daily...

 

10 years ago

GPL

MTANZANIA ATOLEWA BIG BROTHER

Matumaini ya watu wengi kumuona mshiriki  kutoka Afrika Mashariki ndani ya jumba la Big Brother Africa kuibuka na ushindi, yameshuka kwa kiasi kikubwa baada ya washiriki kutoka nchi mbili za Afrika Mashariki kutolewa nje ya jumba hilo. Aliekuwa mshiriki wa Tanzania Laveda. Wiki moja baada ya washiriki Lillian kutoka Nigeria, Esther kutoka Uganda na Sabina kutoka Kenya kutolewa kwenye mjengo huo, Mtanzania Laveda aliyekuwa na...

 

10 years ago

TheCitizen

Big Brother Africa takes a break

It is five months to the end of the year and anxiety is growing among fans of reality TV programme Big Brother Africa.

 

10 years ago

BBC

Big Brother Africa winner's 'joy'

The winner of Big Brother Africa, Idris Sultan from Tanzania, tells the BBC he is overjoyed to have won the reality TV show staged in South Africa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani