Fella aeleza kwanini amemshauri Berry Black kuhamia Dar
Meneja wa Mkubwa na Wanae, TMK Wanaume Family pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema amemshawishi msanii wake mpya Berry Black kutoka Zanzibar na kuhamia Dar es salaam ili kuwa karibu na vyombo vya bahari.
Mkubwa Fella, ameiambia Bongo5 kuwa uwamuzi wa Berry Black kuishi Dar, kutamsaidia msanii huyo kusambaza kazi zake vizuri kwa kuwa yupo karibu na vituo vya habari.
“Muziki ni popote lakini tatizo ni usambazaji, ndo maana tukaamua ahamie hapa Dar ili tuweze kusambaza kazi zake hata...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Jan
Said Fella anawapoteza Baby J na Berry Black – AT
![AT](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/AT-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa mduara AT, amezikandia jitihada za mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe Said Fella za kuwachukua na kuwasimamia wasanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J na Berry Black kwa madai amechukua ili kuwapotezea muda.
AT ambaye ameonesha dhahiri kutofurahishwa na mfumo wa muziki hapa Tanzania ambao kwa upande wake anaona unabana wasanii wa muziki kutoka Zanzibar, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa ni kuwanyonya na si kuwasaidia.
“Mtu anawachukua wasanii wa...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa
Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]
The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...
9 years ago
Bongo530 Nov
Video: Berry Black Ft Alice & Digna – Mtuwaache
![Berry Black](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Berry-Black-300x194.jpg)
Hii ni video mpya ya msanii kutoka Zanzibar Berry Black amewashirikisha Alice & Digna wimbo unaitwa “Mtuwaache”. video imeongozwa na Pablo D360.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/y3mN-mswNEc/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video)
Ni muda sasa tangu kusikika kwa headlines za wasanii Berry Black & Berry White ambao walikuwa wakijulikana kama ‘2 Berry’ mara baada ya kuachia hit song ya ‘Na wewe tu’ waliyomshirikisha producer Shirko stori zikaenea kuwa wawili hao wametofautiana na hawafanyi tena kazi pamoja. Sasa hapa nakukutanisha na Berry Black ambaye anaeleza yote mwanzo mwisho […]
The post Exclussive Interview: Berry Black hajasikika kitambo, haya ndio mapya kutoka kwake…(+Video) appeared first on...
9 years ago
Bongo523 Nov
Baby Jay aeleza matarajio yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Fella na Tale
![11910514_1643281142605929_1772135023_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11910514_1643281142605929_1772135023_n-300x194.jpg)
Mwimbaji mahiri, Baby Jay amesema ana matarajio ya kupiga hatua katika muziki wake baada uongozi mpya wa Mkubwa Fella pamoja na Babu Tale kumchukua na kusimamia kazi zake za muziki.
Baby Jay ameiambia Bongo5 kuwa, ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu kufanya kazi na uongozi mkubwa ambao utaweza kupeleka mbele muziki wake.
“Kwanza kuja kwa Tale na Fella ni wakati sahihi kwangu. Niwakati ambao nilikuwa naitaji watu ambao nitafanyanao kazi ya uhakika, wamekuja wakati ambao nimekuwa na...
9 years ago
Bongo512 Nov
Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa
![Richard-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Richard-1-300x194.jpg)
Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.
Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.
“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...
9 years ago
Bongo504 Jan
Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo
![Faiza Ally](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Faiza-Ally-300x194.jpg)
Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.
Faiza Ally akiwa mwenye machozi
Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location
Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.
“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’