KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI
Mkurugenzi wa Kampuni ya Angels Moment, Naima Malima akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi uliofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Abdallah Kihato na Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba. (Picha na John Dande)
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Abdallah Kihato akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi lililofanyika Mkuranga mkoani Pwani.
Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rG61O9Nigo0/U_c8lLlQ_uI/AAAAAAAGBbY/dp6gP_pYQOg/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X6QBc_DtFIo/U_c8gU7YPeI/AAAAAAAGBa8/Eomx5aPMUoA/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHq7iCqRF_w/U_c8h4tnlGI/AAAAAAAGBbE/Hk4z1P6NrZs/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s640/_MG_5681.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_q9I0wzUlw/Vh1TgQ5RcJI/AAAAAAADA18/aiisUZueSJ4/s640/_MG_5729.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YXJ_LlxWdEg/VKFIx0Y16HI/AAAAAAAG6Zs/FqlT-i1VyPo/s72-c/001.MOROGORO.jpg)
Kampeni ya “Wait to Send” yaendelea Mkoa wa Pwani na Morogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-YXJ_LlxWdEg/VKFIx0Y16HI/AAAAAAAG6Zs/FqlT-i1VyPo/s1600/001.MOROGORO.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A2948-2-768x464.jpg)
MAKAMU WA RAIS AONGOZA HARAMBEE UJENZI WA JENGO LA OFISI NA UKUMBI LA KITEGA UCHUMI WA CCM MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RJfI-5SQoA/Xmze2t-b0wI/AAAAAAALjo8/Xarp4Mc65vAK1t2iXG2oDZrjci6bJ-RbgCLcBGAsYHQ/s640/F87A2948-2-768x464.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R2AUO_wanXA/XlE206Gr3qI/AAAAAAAC7_o/JosIhIMJuO0iFAttMI5Z_D82wS9E3IplQCLcBGAsYHQ/s72-c/6J1A6849.jpg)
PROGRAMU YA TANO NA SITA YA MWANAMKE WA WAKATI UJAO YAZINDULIWA
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamezindua programu ya tano na sita kwa wanawake wa wakati ujao ikiwa na ongezeko la washiriki wengi kutoka taasisi na makampuni mbalimbali.
Mafunzo hayo yanaendeshwa ATE kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi cha ESAMI toka mwaka 2016 yakiwa na lengo la kumuandaa mwanamke kushika uongozi wa juu.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka amesema kwa mwaka huu muitikio wa...
9 years ago
VijimamboSIKU YA MWANAMKE WA ILEJE YAZINDULIWA RASMI MKOANI MBEYA
Naibu Waziri wa Viwanda an Biashara Janeth Mbene amezindua siku ya mwanamke wa Ileje ambayo...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Kampeni ya ugonjwa wa usonji yazinduliwa
KLINIKI ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) zimeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao watanzania wengi hawaufahamu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oooYRp-4kWs/VE-x2lswV_I/AAAAAAAGt3k/bsnvkKWwKkc/s72-c/unnamedF2.jpg)
CHANGAMKIENI FURSA ZA MWANAMKE NA UCHUMI - MH. DENDEGO
Wanawake wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kujitokeza na kuchangamkia fursa zitakazotolewa na kampeni ya mwanamke na uchumi inayotarajiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi ujao mkoani Tanga ambapo zaidi ya wanawake 300 watanufaika na mafunzo hayo yanayotolewa na kampuni ya Angels Moment ya jijini Dar Es Salaam.
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mheshimiwa Halima Dendego amesema fursa zitakazotolewa ni fahari kwa wanawake na wajasiriamali wa mkoa huo kwani elimu...