Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROGRAMU YA TANO NA SITA YA MWANAMKE WA WAKATI UJAO YAZINDULIWA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamezindua programu ya tano na sita kwa wanawake wa wakati ujao ikiwa na ongezeko la washiriki wengi kutoka taasisi na makampuni mbalimbali.
Mafunzo hayo yanaendeshwa ATE kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi cha ESAMI toka mwaka 2016 yakiwa na lengo la kumuandaa mwanamke kushika uongozi wa juu.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka amesema kwa mwaka huu muitikio wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Programu ya Safaari Lager Wezeshwa msimu wa nne yazinduliwa mkoani Morogoro

Balozi wa Programu ya Safaari Lager Wezeshwa msimu wa nne, Samira Kadelwa akigawa vipeperushi kwa wajasilamali mbalimbali wa Mkoa wa Morogoro wakati wa uzinduzi wa Proramu hiyo mkoani humo uliofanyika jana.Jumla ya milioni 220 zinatarajiwa kugawiwa kwa wajasiliamali kwa awamu hii ya nne chini ya bia ya Safari Lager.Balozi wa Programu ya Safaari Lager Wezeshwa msimu wa nne, Catherine Oden akigawa vipeperushi kwa wajasilamali mbalimbali wa Mkoa wa Morogoro wakati wa uzinduzi wa Proramu hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

mafunzo ya Programu ya awamu ya pili ya kuboresha taaluma ya walimu na wanafunzi yazinduliwa wilayani same.


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Anne Kilango Malecela amewataka walimu wanaofanya kazi katika maeneo wanayotoka kuwa na nidhamu ya kazi ili kuendelea kuinua ubora wa Elimu nchini. 
Akizungumza katika uzinduzi wa Programu ya awamu ya pili ya kuboresha taaluma ya walimu na wanafunzi inayoendelea katika wilaya ya Same amesema sababu kubwa ya kushuka kwa taaluma katika wilaya hiyo ni kutokana na walimu kufundisha katika maeneo ya nyumbani. Kitu kinachosababisha  muda mwingi...

 

10 years ago

Michuzi

PROGRAMU MPYA YA KUJIFUNZA SOMO LA HISABATI KWA KUTUMIA SIMU ZA MIKONONI YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia,Mh.Jonh Mgodo akizungumza mapema leo mbele ya Wanahabari kuhusiana na uzinduzi wa Programu mpya ya kujifunza somo la hisabati kwa kutumia simu za mikononi. Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia,Mh.Jonh Mgodo akizungumza mapema leo mbele ya Wanahabari katika ukumbi wa COSTECH,Sayansi Kijitonyama,jijini Dar kuhusiana na uzinduzi wa Programu mpya ya kujifunza somo la hisabati kwa kutumia simu ya mikononi.

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS, AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AJIRA NCHI ZA SADC, PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VITENDO YAZINDULIWA

Na Leandra Gabriel na Avila Kakingo, Globu ya JamiiPROGRAMU ya  Taifa ya mafunzo ya vitendo kwa wahitimu wa elimu ya juu (Intership Training Program) imezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hafla iliyoenda sambamba na ufunguzi wa mkutano na mawaziri wa sekta ya kazi na ajira na wadau wa utatu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC.)
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Samia amesema kuwa mafunzo hayo...

 

10 years ago

GPL

PROGRAMU MAALUMU KWA WASICHANA INAYOENDESHWA NA CHUO KIKUU HURIA NA NAFASI OPPORTUNITY SOCIETY(NOS) YAZINDULIWA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa tatu kutoka Kulia) akifurahi jambo katika uzinduzi wa mafunzo ya wasichana yaliyojikita katika mafunzo ya ufundi,mawasiliano na ujuzi wa kibiashara.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa mafunzo kutoka VETA Bi.Leah Lukindo,anaefuata ni makamu mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Prof. Tolly Mbwette.… ...

 

5 years ago

Michuzi

Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inayoongoza barani Afrika kwa kutengeneza vipindi kwa njia ya kidigitali kwa ajili ya kufundisha watoto wa rika mbalimbali kwa njia ya mfumo wa elimu-burudani imesema kuwa itatoa ushirikiano mkubwa katika kuchukua hatua madhubuti na kuwaunga mkono walezi na watoto kuendelea kujifunza nyumbani wakati shule zimefungwa.
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI

Mkurugenzi wa Kampuni ya Angels Moment, Naima Malima akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi uliofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga,  Abdallah Kihato na Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba. (Picha na John Dande)Mkuu wa  Wilaya ya Mkuranga,  Abdallah Kihato akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kampeni ya Mwanamke na Uchumi lililofanyika Mkuranga mkoani Pwani. Mkurugenzi wa Mwang'amba Communication, James Mwang'amba...

 

9 years ago

Vijimambo

SIKU YA MWANAMKE WA ILEJE YAZINDULIWA RASMI MKOANI MBEYA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Jannet Mbene akizungumza na Wanawake waliohudhuria sherehe za siku ya Mwanamke wa Ileje (Hawapo Pichani )katika ukumbi wa Mikutano CCM Wilayani humo.Picha Jamiimojablog Mbeya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene( katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Ileje Rosemary Senyamule kulia wakifurahi jambo katika sherehe hizo . Sherehe zikiendelea Na Jamiimojablog.
Naibu Waziri wa Viwanda an Biashara Janeth Mbene amezindua siku ya mwanamke wa Ileje ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani