PROGRAMU YA TANO NA SITA YA MWANAMKE WA WAKATI UJAO YAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2AUO_wanXA/XlE206Gr3qI/AAAAAAAC7_o/JosIhIMJuO0iFAttMI5Z_D82wS9E3IplQCLcBGAsYHQ/s72-c/6J1A6849.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamezindua programu ya tano na sita kwa wanawake wa wakati ujao ikiwa na ongezeko la washiriki wengi kutoka taasisi na makampuni mbalimbali.
Mafunzo hayo yanaendeshwa ATE kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi cha ESAMI toka mwaka 2016 yakiwa na lengo la kumuandaa mwanamke kushika uongozi wa juu.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka amesema kwa mwaka huu muitikio wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziProgramu ya Safaari Lager Wezeshwa msimu wa nne yazinduliwa mkoani Morogoro
10 years ago
Michuzimafunzo ya Programu ya awamu ya pili ya kuboresha taaluma ya walimu na wanafunzi yazinduliwa wilayani same.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Anne Kilango Malecela amewataka walimu wanaofanya kazi katika maeneo wanayotoka kuwa na nidhamu ya kazi ili kuendelea kuinua ubora wa Elimu nchini.
Akizungumza katika uzinduzi wa Programu ya awamu ya pili ya kuboresha taaluma ya walimu na wanafunzi inayoendelea katika wilaya ya Same amesema sababu kubwa ya kushuka kwa taaluma katika wilaya hiyo ni kutokana na walimu kufundisha katika maeneo ya nyumbani. Kitu kinachosababisha muda mwingi...
10 years ago
GPL30 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a0Vvq0GZeAI/VCqBIAPFB1I/AAAAAAACr3U/hvRkCZCp9HA/s72-c/5.jpg)
PROGRAMU MPYA YA KUJIFUNZA SOMO LA HISABATI KWA KUTUMIA SIMU ZA MIKONONI YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-a0Vvq0GZeAI/VCqBIAPFB1I/AAAAAAACr3U/hvRkCZCp9HA/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-62UVv7pT3T4/VCqBIBriSFI/AAAAAAACr3M/3VUU-TOyvNU/s1600/6.jpg)
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS, AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AJIRA NCHI ZA SADC, PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VITENDO YAZINDULIWA
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Samia amesema kuwa mafunzo hayo...
10 years ago
GPLPROGRAMU MAALUMU KWA WASICHANA INAYOENDESHWA NA CHUO KIKUU HURIA NA NAFASI OPPORTUNITY SOCIETY(NOS) YAZINDULIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPh-K-nP1JI/XnnSaP4VzVI/AAAAAAAEGaY/My26ik4PTYMMerVwoSgHAeUf5Rj5-Tl7gCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI
9 years ago
VijimamboSIKU YA MWANAMKE WA ILEJE YAZINDULIWA RASMI MKOANI MBEYA
Naibu Waziri wa Viwanda an Biashara Janeth Mbene amezindua siku ya mwanamke wa Ileje ambayo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10