KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA RASIMI MJINI DODOMA
.jpg)
Waziri wa Maendeleo Jamii Jinsia na Watoto Mh Sophia Simba akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi iliyo andaliwa na NGO ya Angels Moment Co. ltd kwa ajili ya kumkomboa mwanamke wa Kitanzania uzinduzi huo umefanyika katika Hotel ya Dodoma.
Mkurugenzi wa Angels Moment co. ltd Naima Malima akisoma risala ya kuelezea madhumuni ya uzinduzi wa kampeni ya mwanamke na uchumi sherehe hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wabunge na pamoja na baadhi ya Mawaziri
Burudani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI YAZINDULIWA MKOA WA PWANI
11 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA
11 years ago
Michuzi28 Mar
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2014 KUFANYIKA KESHO MJINI DODOMA


Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, ambayo ndiyo iliyoratibu zoezi hilo, Eric Shigongo, amesema leo kwamba shughuli hiyo itakuwa ni hitimisho la kazi kubwa ya kupokea na kuchuja kura...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Vyama vinne havijaanza kampeni Dodoma Mjini
10 years ago
Michuzi
DK. STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA

10 years ago
GPL
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi.jpg)
balozi seif akutana na Taasisi za uwekezaji vitega uchumi kutoka Kampuni mbali mbali za Kimataifa za ujenzi mjini Dodoma leo
11 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MAJI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
PROGRAMU YA TANO NA SITA YA MWANAMKE WA WAKATI UJAO YAZINDULIWA
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamezindua programu ya tano na sita kwa wanawake wa wakati ujao ikiwa na ongezeko la washiriki wengi kutoka taasisi na makampuni mbalimbali.
Mafunzo hayo yanaendeshwa ATE kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi cha ESAMI toka mwaka 2016 yakiwa na lengo la kumuandaa mwanamke kushika uongozi wa juu.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka amesema kwa mwaka huu muitikio wa...