MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mkuranga jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake mkoa wa Lindi na baade ameendelea na kampeni zake ndani ya mkoa wa Pwani,ambapo anatarajia kujinadi maeneo mbalimbali ya mkoa Pwani katika kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika awamu ya tano,katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyia Oktoba 25 mwaka huu.
Mgombea Urais wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BQejuHSVGG8/VhtTxWof7BI/AAAAAAADAsE/XfsuVLRrRsU/s72-c/_MG_5012.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BQejuHSVGG8/VhtTxWof7BI/AAAAAAADAsE/XfsuVLRrRsU/s640/_MG_5012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U5h2rau0AIQ/VhtT6WesXcI/AAAAAAADAsU/VMdj1ri9Vtw/s640/_MG_5015.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kyerwa-palikuwa-hapatoshi-leo.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE KWA MKOA WA KAGERA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8G96oXzTso/VhbBKeerSGI/AAAAAAADAhM/VbeGoNn5uHU/s72-c/_MG_4680.jpg)
DKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOA WA KILIMANJARO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8G96oXzTso/VhbBKeerSGI/AAAAAAADAhM/VbeGoNn5uHU/s640/_MG_4680.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4IGp7PpQ0Lo/VhbBNHKXFYI/AAAAAAADAhc/C81fDLdOhWo/s640/_MG_4687.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ochIofVHwyA/VhbBPDV_M3I/AAAAAAADAhk/ApSWYiYsAX0/s640/_MG_4717.jpg)
9 years ago
Vijimambo27 Sep
MWIGULU NCHEMBA AENDELEA KUCHANJA MBUGA,AMALIZA KAZI MKOA WA SINGIDA KUHAKIKISHA CCM INASHINDA KWA KISHINDO
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/11224522_429977853871115_7948411750491525655_n.jpg?oh=dbba4a3b490e5ba1808cc2b51bd53130&oe=56A08E4F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12027503_429978013871099_4476088822768348041_n.jpg?oh=553771f7f9f0651088bb66c5fee7e5b6&oe=56A1DE19)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Akiusalimia-umati-alioukuta.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE JIJINI MWANZA KWA KISHINDO
10 years ago
MichuziWAKAZI WA MKOA WA MOROGORO WAIPOKEA KAMPENI YA "M-PAWA TUMEKUFIKIA" KWA KISHINDO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ5hkYnaKVc/VifEIpBmvJI/AAAAAAADBR4/cbsyBVFksGE/s72-c/_MG_8539.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE JIJINI DAR,APOKELEWA KWA KISHINDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ5hkYnaKVc/VifEIpBmvJI/AAAAAAADBR4/cbsyBVFksGE/s640/_MG_8539.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ieaBQTXIsKw/VifEDf2didI/AAAAAAADBQ8/jOWQwhM9ErU/s640/_MG_8410.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1k1p0f7LxCY/VifED1QLGwI/AAAAAAADBRA/Dydl7NeyYP4/s640/_MG_8439.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xDlZhppaATY/VifDhDQRiOI/AAAAAAADBQo/eC9iWoYysl0/s640/_MG_8284.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake jijini Dar, apokelewa kwa kishindo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ5hkYnaKVc/VifEIpBmvJI/AAAAAAADBR4/cbsyBVFksGE/s640/_MG_8539.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli Mgombea Urais kupitia CCM akiwanadi wagombea kiti cha Udiwani kwa wakazi wa Kinondoni kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.(PICHA NA MICHUZI JR-DAR ES SALAAM).
![](http://2.bp.blogspot.com/-tlNVhmvqjPQ/VifEtVnF_gI/AAAAAAADBSQ/CSxnnnHvVCk/s640/_MG_8370.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ubungo.Sinza jijini Dar kwenye uwanja wa TP wakati wa kampeni.Dkt Magufuli ameendelea na kampeni zake mkoani Dar es salaam,ambapo kesho ataendelea kuhutubia kwenye majimbo mbalimbali ya jiji hilo.
Mgombea...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...