MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE KWA MKOA WA KAGERA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kyerwa-palikuwa-hapatoshi-leo.jpg)
Wakazi wa Kyerwa wakimsikiliza Dk. Jonh Pombe Magufuli wakati wa mkutano wake wa kampeni. Magufuli akijinadi sambamba na mgombea ubunge jimbo la Ngara (CCM) Alex Gashaza.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Akiusalimia-umati-alioukuta.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE JIJINI MWANZA KWA KISHINDO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s640/_MG_5681.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_q9I0wzUlw/Vh1TgQ5RcJI/AAAAAAADA18/aiisUZueSJ4/s640/_MG_5729.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akimwaga-sera-jangwani-leo-2.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE DAR, KESHO KUITEKA MWANZA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s72-c/_MG_9123.jpg)
MAGUFULI AMALIZANA NA KAMPENI ZAKE KAGERA,KESHO KUUNGURUMA MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s640/_MG_9123.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fVQHpII2AqU/VgGHv2n610I/AAAAAAAC_bk/enpYt2ateBY/s640/_MG_9005.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eVhScSIEhDQ/VgGH0ytqPYI/AAAAAAAC_cc/fU5BJdqILNc/s72-c/_MG_9123.jpg)
Dkt. MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE KAGERA, KESHO KUUNGURUMA MKOANI GEITA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1186.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akitoa mpya jukwaani kwa kupiga Push Up kama kumi hivi ili kuwadhihirishia wananchi wa Mjini Karagwe mkoani Kagera kuwa yuko fiti kiafya ili kuwatumikia watanzania mara watakapompa ridhaa ya kuwaongoza Watanzania ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani .
Huku umati wa Wakazi wa Karagwe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8G96oXzTso/VhbBKeerSGI/AAAAAAADAhM/VbeGoNn5uHU/s72-c/_MG_4680.jpg)
DKT MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOA WA KILIMANJARO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8G96oXzTso/VhbBKeerSGI/AAAAAAADAhM/VbeGoNn5uHU/s640/_MG_4680.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4IGp7PpQ0Lo/VhbBNHKXFYI/AAAAAAADAhc/C81fDLdOhWo/s640/_MG_4687.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ochIofVHwyA/VhbBPDV_M3I/AAAAAAADAhk/ApSWYiYsAX0/s640/_MG_4717.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BQejuHSVGG8/VhtTxWof7BI/AAAAAAADAsE/XfsuVLRrRsU/s72-c/_MG_5012.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BQejuHSVGG8/VhtTxWof7BI/AAAAAAADAsE/XfsuVLRrRsU/s640/_MG_5012.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U5h2rau0AIQ/VhtT6WesXcI/AAAAAAADAsU/VMdj1ri9Vtw/s640/_MG_5015.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake jijini Dar, apokelewa kwa kishindo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ5hkYnaKVc/VifEIpBmvJI/AAAAAAADBR4/cbsyBVFksGE/s640/_MG_8539.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli Mgombea Urais kupitia CCM akiwanadi wagombea kiti cha Udiwani kwa wakazi wa Kinondoni kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Biafra Kinondoni jijini Dar es salaam.(PICHA NA MICHUZI JR-DAR ES SALAAM).
![](http://2.bp.blogspot.com/-tlNVhmvqjPQ/VifEtVnF_gI/AAAAAAADBSQ/CSxnnnHvVCk/s640/_MG_8370.jpg)
Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ubungo.Sinza jijini Dar kwenye uwanja wa TP wakati wa kampeni.Dkt Magufuli ameendelea na kampeni zake mkoani Dar es salaam,ambapo kesho ataendelea kuhutubia kwenye majimbo mbalimbali ya jiji hilo.
Mgombea...