Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma
PAMOJA na kujinasibu kwamba Dodoma ndiyo Makao Makuu ya Serikali ya Tanzania, lakini inaonekana dhana hiyo ni ya kufikirika ambayo imejawa na matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi kwa miaka 39 sasa. Mwandishi Wetu DANIEL MBEGA anachambua kwa kina suala hilo na nini Watanzania wategemee. “MAJENGO yanazidi kufumuka kama uyoga, lakini viongozi wa serikali wanapenda anasa na kuamua kubaki Dar es Salaam upepo wa Pwani unakovuma, hawataki kuja kula vumbi la huku Dodoma,” Elibariki Njau (64)...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni
10 years ago
MichuziKAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Serikali kuhamia Dodoma kesho
UONGOZI wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya kihistoria itakayotolewa na Rais Jakaya Kikwete mbele ya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Hakuna mazingira yanayoiwezesha Serikali kuhamia Dodoma’
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Kuhamia Dodoma bado kipaumbele cha Serikali?
9 years ago
Bongo512 Nov
Richard wa Big Brother aeleza sababu za kuhamia Canada anakoishi sasa
![Richard-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Richard-1-300x194.jpg)
Siku chache zilizopita mshindi wa Big Brother Africa (2007) Richard Bezuidenhout, alishare picha kwenye akaunti yake ya Instagram akiwa location na kuandika kuwa anarejea tena kwenye ulimwengu wa filamu baada ya kimya kirefu.
Richard ambaye kwa sasa anaishi na familia yake nchini Canada, ametoa sababu za kuhama Tanzania na kukaa kimya muda mrefu bila kutoa filamu yoyote.
“Unajua nilivyoshinda Big Brother nikapiga movie kadhaa, nikaenda Nigeria nikapiga movie, nijaka Tanzania nikapiga movie...
11 years ago
Mwananchi25 May
Aanze rais kuhamia Makao Makuu Dodoma, wengine watafuata
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-x-ztBoTMjNQ/Uzwqey87GKI/AAAAAAAAoL0/ea-0EswdmBc/s1600/2.jpg)
MKOA WA DODOMA ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA BODI YA HUDUMA ZA MAKTABA NCHINI MKOANI DODOMA