Kuhamia Dodoma bado kipaumbele cha Serikali?
Mjadala kuhusu Serikali kuhamia Dodoma juzi uliibua mapya bungeni kwa baadhi ya wabunge kusema hicho siyo tena kipaumbele cha Taifa, huku wengine wakisema azima ya Serikali kuhamia Dodoma lazima ibaki palepale.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Mar
Serikali kuhamia Dodoma kesho
UONGOZI wa juu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kesho utahamia katika Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, kushuhudia hotuba ya kihistoria itakayotolewa na Rais Jakaya Kikwete mbele ya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Hakuna mazingira yanayoiwezesha Serikali kuhamia Dodoma’
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
Miaka 41 Sasa Hawataki Kuhamia Dodoma
11 years ago
Mwananchi25 May
Aanze rais kuhamia Makao Makuu Dodoma, wengine watafuata
10 years ago
MichuziSERIKALI IWEKE KIPAUMBELE KWENYE LISHE
Serikali imetakiwa kuweka vipaumbele katika masuala ya lishe ili...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Serikali kutoa kipaumbele uwezeshaji wanawake
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema serikali za awamu zote nne za uongozi zimekuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha zinatoa kipaumbele katika masuala yanayohusu uwezeshaji wanawake kwenye nyanja zote ili kuleta usawa wa kijinsia.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lwZsw40N3d8/XufdaNwGmoI/AAAAAAALt8w/pbFfQ357q0Mw68sgtx8CnMu_BBUH1k8UACLcBGAsYHQ/s72-c/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
SERIKALI ITAKAMILISHA MIRADI YOTE YA KIPAUMBELE-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lwZsw40N3d8/XufdaNwGmoI/AAAAAAALt8w/pbFfQ357q0Mw68sgtx8CnMu_BBUH1k8UACLcBGAsYHQ/s640/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itatoa msukumo wa kipekee katika kukamilisha miradi ya kipaumbele na kimkakati inayoendelea kutekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili wananchi waendelee kupata huduma bora.
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itashirikiana na sekta binafsi kuleta mageuzi kwa kutekeleza kwa kasi mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini (yaani Blue Print for Business Environment).
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Juni 15, 2020)...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovDFG1lioHBi6cRx7voFxYIoGzjwwqe5d7i4QgvyQv5bffkpTLzAUOZ5ievGOCPTXzI4jcfbd0Mt-cD*Rr5Ye3TU/image.jpg?width=650)
SERIKALI KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAHANDISI WAZALENDO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s72-c/3-35.jpg)
SERIKALI YAKANUSHA UVUMI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KAMPASI YA SINGIDA KUHAMISHIWA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s640/3-35.jpg)