SERIKALI KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAHANDISI WAZALENDO
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Wahandisi kutoka maeneo mbalimbali nchini wakati wa ufunguzi wa Siku ya Wahandisi nchini mwaka 2015 jijini Dar es salaam. Baadhi ya Wahandisi wahitimu kutoka katika vyuo na taasisi mbalimbali wakila kiapo cha utii kwa Taaluma yao mbele ya Kamishna wa Viapo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi yanayoendelea jijini Dar es salaam.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSerikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
10 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUTOA VIPAUMBELE KWA WANAWAKE KIUCHUMI, KIELIMU NA KIUONGOZI
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake kitafa akibonyeza kitufe katika kompyuta mpakato kwa ajili ya kupinga king'ora ili kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho hayo jana ( Machi 6) ambayo kilele chake ni machi 8, mwaka huu ,katika uwanja wa Jamhuri wa Morogoro ( anayepiga makofi) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana ( kulia) ni Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa ,...
10 years ago
Habarileo08 Mar
Serikali kutoa kipaumbele uwezeshaji wanawake
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema serikali za awamu zote nne za uongozi zimekuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha zinatoa kipaumbele katika masuala yanayohusu uwezeshaji wanawake kwenye nyanja zote ili kuleta usawa wa kijinsia.
5 years ago
MichuziSERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...
5 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUTOA TAKWIMU ZA MWENENDO WA CORONA
Waziri Ummy Mwalimu akiongea na mwananchi kupitia kituo cha afya cha huduma kwa wateja mara baada ya kukizindua .
Waziri Ummy Mwalimu akiongea wakati wa uzinduzi huo
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiangalia namna watoa huduma wanavyopokea simu kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Corona
Muonekano wa kituo cha afya cha huduma kwa wateja ambacho kitakua na wataalam 150 wa kutoa elimu na taarifa kwa wananchi...
10 years ago
Mtanzania23 May
Serikali kuendelea kutoa mafunzo ya cheti cha sheria
SERIKALI imesema itaendelea kutoa mafunzo ya ngazi ya cheti na stashahada katika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto kwa kuwa bado inawahitaji wataalamu hao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Ummy Mwalimu, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi).
Katika swali lake, Machali, alihoji uhalali wa Serikali kupoteza fedha kwa ajili ya kutoa mafunzo ya cheti na stashahada katika chuo hicho wakati haiajiri tena...
11 years ago
Michuzi24 Feb
WAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI
Na Damas Makangale
WAMILIKI Wote wa maeneo ya biashara nchini wameombwa kutoa nafasi ya maeneo ya biashara kwa wajasirimali wanawake ili...
11 years ago
GPLWAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI