Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFKTjSb5zWE/VekU94gtIgI/AAAAAAAH2Ok/eVkcYaNowWQ/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Na Aron Msigwa Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi kwa mwaka 2015 jana jijini Dar es salaam, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Wahandisi wanao mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kwa kuifanya mipango iliyo kwenye karatasi kuwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s72-c/image_1.jpg)
BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s640/image_1.jpg)
Picha na Aron Msigwa -MAELEZOBODI ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERD) imefanikiwa kutengeneza ajira 1600 kwa Watanzania kufuatia usajili wa makampuni 160 ya ushauri wa kihandisi yaliyoanzishwa nchini kote nchini katika kipindi cha...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Usajili wahandisi ERB waongezeka
BODI ya Usajili wa Wahandisi nchini (ERB) imesema imefanikiwa kusajili wahandisi 15,364 katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovDFG1lioHBi6cRx7voFxYIoGzjwwqe5d7i4QgvyQv5bffkpTLzAUOZ5ievGOCPTXzI4jcfbd0Mt-cD*Rr5Ye3TU/image.jpg?width=650)
SERIKALI KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAHANDISI WAZALENDO
9 years ago
MichuziBARAZA LA TAIFA LA UJENZI KATIKA MKUTANO WA 13 WA BODI YA USAJIRI YA WAHANDISI TANZANIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-od-cySumyF4/Xt4z7STP9xI/AAAAAAALtCo/N2rSfIUX4GIJ3e1trZEKiMxz8NGkmFtVQCLcBGAsYHQ/s72-c/226.jpg)
Wahandisi wa Ujenzi Wazalendo lazima wajenge Heshima wakati wa kutekeleza Miradi wanayokabidhiwa -BALOZI SEIF ALI IDDI
Alisema wapo baadhi ya Wataalamu Wazalendo wenye tabia chafu isiyokubalika ya kuwadanganya Viongozi pamoja na Taasisi zilizowakabidhi Miradi ya Ujenzi bila ya kujali kwamba wametia saini Mkataba unaowapa wajibu wa kuutekeleza kwa muda muwafaka.
Balozi...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wahandisi nchini watahadharishwa
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Kongamano la Wahandisi Desemba 4
TAASISI ya Wahandisi Tanzania, imeandaa kongamano la kimataifa litakalofanyika Desemba 4 na 5 mwaka huu jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mtendaji...
11 years ago
Mwananchi12 May
Wahandisi nchini waonywa