BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s72-c/image_1.jpg)
Picha. Na.1. Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini Tanzania(ERB) Muhandisi Steven Mlope akiongea na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuelezea mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 hasa ukuzaji wa sekta ya ajira nchini Tanzania.
Picha na Aron Msigwa -MAELEZOBODI ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERD) imefanikiwa kutengeneza ajira 1600 kwa Watanzania kufuatia usajili wa makampuni 160 ya ushauri wa kihandisi yaliyoanzishwa nchini kote nchini katika kipindi cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AFKTjSb5zWE/VekU94gtIgI/AAAAAAAH2Ok/eVkcYaNowWQ/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
Habarileo05 Aug
Usajili wahandisi ERB waongezeka
BODI ya Usajili wa Wahandisi nchini (ERB) imesema imefanikiwa kusajili wahandisi 15,364 katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne.
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Bodi ya usajili wa wakandarasi yatengeneza ajira 1600
Msajili wa Bodi ya Wakandarasi nchini Mhandisi, Steven Mlote.
Na Jovina Bujulu, MAELEZO
BODI ya Usajili wa Wakandarasi (ERB) imetengeneza ajira 1600 iliyotokana na usajili wa makampuni ya ushauri wa kihandisi 160 katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2015.
Hayo yamesemwa jana (Jumanne Agosti 4, 2015) na Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Mhandisi Mlote alisema...
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
9 years ago
MichuziBARAZA LA TAIFA LA UJENZI KATIKA MKUTANO WA 13 WA BODI YA USAJIRI YA WAHANDISI TANZANIA
11 years ago
Mwananchi12 May
Wahandisi nchini waonywa
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wahandisi nchini watahadharishwa
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wahandisi nchini washauri sera ya ujenzi izingatiwe