Bodi ya usajili wa wakandarasi yatengeneza ajira 1600
Msajili wa Bodi ya Wakandarasi nchini Mhandisi, Steven Mlote.
Na Jovina Bujulu, MAELEZO
BODI ya Usajili wa Wakandarasi (ERB) imetengeneza ajira 1600 iliyotokana na usajili wa makampuni ya ushauri wa kihandisi 160 katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2015.
Hayo yamesemwa jana (Jumanne Agosti 4, 2015) na Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Mhandisi Mlote alisema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s72-c/image_1.jpg)
BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s640/image_1.jpg)
Picha na Aron Msigwa -MAELEZOBODI ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERD) imefanikiwa kutengeneza ajira 1600 kwa Watanzania kufuatia usajili wa makampuni 160 ya ushauri wa kihandisi yaliyoanzishwa nchini kote nchini katika kipindi cha...
11 years ago
Habarileo02 Jun
Vodacom yatengeneza ajira 400
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X38ng6t27ag/Uw8cFiso0vI/AAAAAAAFP-A/njrIt3xl2dg/s72-c/unnamed+(56).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa bodi ya wakandarasi jijini dar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-X38ng6t27ag/Uw8cFiso0vI/AAAAAAAFP-A/njrIt3xl2dg/s1600/unnamed+(56).jpg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akifurahia jambo wakati akifungua mkutano wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB) na wadau wa manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Msajili wa Bodi ya CRB, Boniface Muhegi na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Joseph Tango.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXRRh0vgKng/Uw8cGT4e4sI/AAAAAAAFP-E/CRwnqTTnhzU/s1600/unnamed+(57).jpg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akibadilishana mawazo na Msajili wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB), Boniface Muhegi na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Joseph Tango, mara baada ya kufungua...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLBODI YA USAJILI WA MAJENGO NA UKADIRIAJI UJENZI YATAKA WATAALAM WATUMIKE IPASAVYO
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AFKTjSb5zWE/VekU94gtIgI/AAAAAAAH2Ok/eVkcYaNowWQ/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)