Vodacom yatengeneza ajira 400
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400
Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim.Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.
Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la...
11 years ago
GPLVODACOM KUTENGENEZA AJIRA ZAIDI YA 400 KUPITIA MADUKA YAO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1Ans7TxaQp0/U4rbdwKuh8I/AAAAAAAFm3A/_XxQ_l3yx34/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Bodi ya usajili wa wakandarasi yatengeneza ajira 1600
Msajili wa Bodi ya Wakandarasi nchini Mhandisi, Steven Mlote.
Na Jovina Bujulu, MAELEZO
BODI ya Usajili wa Wakandarasi (ERB) imetengeneza ajira 1600 iliyotokana na usajili wa makampuni ya ushauri wa kihandisi 160 katika kipindi cha mwaka 2005 hadi 2015.
Hayo yamesemwa jana (Jumanne Agosti 4, 2015) na Msajili wa Bodi ya Wahandisi, Mhandisi Steven Mlote wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Mhandisi Mlote alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E-ucezwptSE/XlAGQBhtaNI/AAAAAAALeww/smoqLg_dWoIzP90Ea1PfNUcjjVRClmfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/2b4ae55f-0c24-49e1-a1d4-ac834aad0fac.jpg)
VETA, Plan International kufungua milango ya ajira kwa vijana 400 mkoani Mwanza
Akizungumza wakati wa tukio la utiaji saini makubaliano hayo leo tarehe 21 Februari, 2020 katika ofisi za VETA Makao Makuu Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Plan International Tanzania Dkt. Mona Girgis amesema kuwa makubaliano hayo yanalenga hasa...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira afanya ziara makuu ya Vodacom Tanzaniaâ€
Naibu Waziri wa Kazi,Vijana na Ajira,Mhe Anthony Mavunde (wapili toka kushoto) akikagua vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini vya mfanyakazi wa kigeni wa Vodacom Tanzania , Valentino Giron (kushoto),wakati alipofanya ziara ya kikazi Makoa makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam hivi karibuni,Anayeshuhudia kulia ni Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu.
Naibu Waziri wa Kazi,Vijana na Ajira,Mhe Anthony Mavunde(Kulia) akisisitiza jambo kwa wafanyakazi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-237zXisGP_4/VozqLeXyNdI/AAAAAAAIQx0/IDBz7hPvOFw/s72-c/001.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA KAZI,VIJANA NA AJIRA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-237zXisGP_4/VozqLeXyNdI/AAAAAAAIQx0/IDBz7hPvOFw/s640/001.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DP5IQJLhdF4/VozqLbxNBHI/AAAAAAAIQx4/_qwu8JkUb5s/s640/002.NAIBU%2BWAZIRI.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Mar
NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Toyota yatengeneza gari linalojiendesha