Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400
Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim.Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.
Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVODACOM KUTENGENEZA AJIRA ZAIDI YA 400 KUPITIA MADUKA YAO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1Ans7TxaQp0/U4rbdwKuh8I/AAAAAAAFm3A/_XxQ_l3yx34/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa
11 years ago
Habarileo02 Jun
Vodacom yatengeneza ajira 400
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Tuna nafasi ya kutengeneza ajira zaidi ya wanaume
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
TSN yapongezwa kutengeneza ajira
SERIKALI imempongeza mwekezaji mzalendo wa kampuni za TSN kwa namna anavyoendelea kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuanzisha biashara mbalimbali ambazo hutengeneza nafasi za ajira. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni...
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
9 years ago
VijimamboLowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.
Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s640/attachment.php.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DN8yziF5F0M/Vc3K2LCdA-I/AAAAAAAAJog/F1PLFIRCQ58/s640/fhsdhrsd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLcedGZfw6Y/Vc3K0wWx11I/AAAAAAAAJoU/V_Gkl_XnHws/s640/hfdh.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9F6o9JYPcCo/Vc3K2wm_6JI/AAAAAAAAJos/78x1trYNk8c/s640/hnsjg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BxCZTe36RTY/Vc3K3HyHf1I/AAAAAAAAJow/uyPNqT-P5KI/s640/jg.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
KINUKAMORI WAOMBA DOLA 30,000 KUTENGENEZA AJIRA KWA WATU 300
Kauli hiyo wameitoa kwa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez wakati alipofanya ziara ...