Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa

Kampuni ya mawasiliano nchini ya Vodacom imendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.   Hayo yameelezwa na Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja, Upendo Richard wakati akizindua duka jipya la Vodacom maeneo ya Sinza Afrika Sana ambalo linakuwa ni la 18 kwa wilaya ya Kinondoni pekee na la 79 Tanzania nzima.   “Dhamira kubwa ya kusambaza maduka haya ni kusogeza na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VODACOM KUTENGENEZA AJIRA ZAIDI YA 400 KUPITIA MADUKA YAO‏

Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana, Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja. Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim. Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es...

 

11 years ago

Dewji Blog

Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400

vodashop sinza

Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja  Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim.Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.

vodashop sinza 2

 Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la...

 

11 years ago

Habarileo

Vodacom yatengeneza ajira 400

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuna nafasi ya kutengeneza ajira zaidi ya wanaume

Hivi karibuni Taasisi ya Kimataifa ya Global Entrepreneurship Monitor (GEM), ilitoa ripoti yake kuhusiana na kuongezeka kwa idadi ya wanawake wajasiriamali duniani.

 

9 years ago

Bongo5

Instagram sasa ina watumiaji (active) zaidi ya milioni 400

Mtandao wa Instagram unaomilikiwa na kampuni ya Facebook, sasa umefikisha watumiaji zaidi ya milioni 400 duniani. Watumiaji wapya wa Instagram milioni 100 wameongezeka katika kipindi cha miezi tisa iliyopita na kuizidi Twitter yenye watumiaji milioni 316 active kila mwezi. Kampuni ya utafiti ya eMarketer imekadiria kuwa mapato yatokanayo na matangazo kwenye Instagram yatafikia dola bilioni […]

 

11 years ago

Michuzi

MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA



Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1            Azam FC   Azam FC 15 9 6 0 25 10 15 33 2 Young Africans FC Young Africans SC 15 9 5 1 33 12 21 32 3 Mbeya City  FC         15 8 7 0 21 11 10 31 4 Simba SC Simba SC 15 8 6 1 31 13 19 30 5 Kagera Sugar FC Kagera Sugar FC 14 5 5 4 15 12 3 20 6 Mtibwa Sugar FC Mtibwa Sugar FC 14 5 5 4 20 17 3 20 7 Coastal Union SC 15 3 9 3 10 7 3 18 8 Ruvu Shooting Stars 14 4 6 4 16 16 0 18 9 JKT Ruvu Stars JKT Ruvu Stars 14 6 0 8 13 18 -5 18 10 Rhino Rangers 15 2 5 8 9 19 -10 11 11 JKT Oljoro...

 

10 years ago

Michuzi

ZAIDI YA BILIONI 29 ZINAWASUBIRI WATEJA WA VODACOM KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS

Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku.
Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi kufikia idadi ya 947 na kutokufanikiwa kupata mshindi wa fedha taslimu na kubakia na idadi ileile ya washindi watano waliojishindia...

 

10 years ago

GPL

NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (katikati),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Benki Tarajiwa ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank in-formation) kurahisisha ununuaji hisa kupitia huduma ya M-Pesa pamoja na kampuni ya Maxcom Africa kupitia huduma yake ya Maxmalipo, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ronald...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TSN yapongezwa kutengeneza ajira

SERIKALI imempongeza mwekezaji mzalendo wa kampuni za TSN kwa namna anavyoendelea kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuanzisha biashara mbalimbali ambazo hutengeneza nafasi za ajira. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani