Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM KUTENGENEZA AJIRA ZAIDI YA 400 KUPITIA MADUKA YAO‏

Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana, Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja. Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim. Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa

Kampuni ya mawasiliano nchini ya Vodacom imendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.   Hayo yameelezwa na Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja, Upendo Richard wakati akizindua duka jipya la Vodacom maeneo ya Sinza Afrika Sana ambalo linakuwa ni la 18 kwa wilaya ya Kinondoni pekee na la 79 Tanzania nzima.   “Dhamira kubwa ya kusambaza maduka haya ni kusogeza na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400

vodashop sinza

Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja  Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim.Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.

vodashop sinza 2

 Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la...

 

11 years ago

Habarileo

Vodacom yatengeneza ajira 400

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuna nafasi ya kutengeneza ajira zaidi ya wanaume

Hivi karibuni Taasisi ya Kimataifa ya Global Entrepreneurship Monitor (GEM), ilitoa ripoti yake kuhusiana na kuongezeka kwa idadi ya wanawake wajasiriamali duniani.

 

10 years ago

GPL

CAREER AFRICA YAFANA NEW YORK ZAIDI YA WANADIASPORA 400 WAJITOKEZA‏

Sophia Yona mwanadiaspora wa New York akiuliza jambo kwa mwakilishi wa Exim Bank Bwn. Dinesh Arora kwenye Career Africa iliyofanyika jiji lisilo lala New York City ndani ya hotel ya Hilton iliyopo mtaa wa 1335 avenue of americas, New York New York 10019 na wanaDiaspora takribani 400 walijitokeza kwenye Careear Africa hiyo iliyokua imeandaliwa na baadhi ya wana Diaspora wa New York na New Jersey kwa kushirikiana na makampuni...

 

10 years ago

GPL

VODAFONE SMART KICKA INAPATIKANA KWA SH.79,999 KWA MADUKA YA VODACOM TU‏

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga (kushoto) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube, Twitter, Facebook na Whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina...

 

10 years ago

Michuzi

ZAIDI YA BILIONI 29 ZINAWASUBIRI WATEJA WA VODACOM KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS

Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku.
Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi kufikia idadi ya 947 na kutokufanikiwa kupata mshindi wa fedha taslimu na kubakia na idadi ileile ya washindi watano waliojishindia...

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA CORONA (T) LTD NI KINARA WA KUJAZA MAFUTA KUPITIA HUDUMA YA M PESA YA VODACOM‏

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum  Mwalim (kushoto)akiongea jambo kwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Corona (T) Ltd baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapojaza mafuta kwenye vituo vya OilCom( wapili kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Raphael Habiyaremye ,Meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa, Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher, Meneja wa Maswala...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 10 KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE‏

Mkuu wa Vodacom Tanzania  kanda ya ziwa Dominician Mkama(kushoto) akimkabidhi kitita cha shilingi Milioni 10/-James Mangu ambaye ni mjasiliamali mkazi wa Magu mkoa wa Mwanza ,alizojishindia kupitia promosheni ya Jay Millions inayoendeshwa na kampuni hiyo, wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika tawi la Benki ya mkoani humo leo.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay au AUTO kwenda 15544.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani