Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA CORONA (T) LTD NI KINARA WA KUJAZA MAFUTA KUPITIA HUDUMA YA M PESA YA VODACOM‏

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum  Mwalim (kushoto)akiongea jambo kwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Corona (T) Ltd baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapojaza mafuta kwenye vituo vya OilCom( wapili kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Raphael Habiyaremye ,Meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa, Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher, Meneja wa Maswala...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA CORONA(T)LTD NI KINARA WA KUJAZA MAFUTA KUPITIA HUDUMA YA M PESA YA VODACOM

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim (kushoto)akiongea jambo kwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Corona (T) Ltd baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapojaza mafuta kwenye vituo vya OilCom( wapili kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Raphael Habiyaremye ,Meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa ,Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher, Meneja wa Maswala ya Kompyuta wa OILCOM Tanzania Abubakar Mwita.Hafla hiyo ilifanyika...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA UTT KUNUFAIKA NA HUDUMA YA VODACOM M PESA‏


Afisa Mkuu Mwendeshaji wa  Dhamana ya Uwekazaji Tanzania (UTT) Simon Migangala  akifafanua  jambo  kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na wateja wa mfuko huo watakavyonufaika na utumiaji wa  huduma ya M-Pesa itakavyowawezesha wananchi  kununua Vipande vya mifuko ya Pamoja iliyo chini ya UTT   kwa njia rahisi na salama katika kufanikisha azima yao kujijengea maisha bora ya baadaye kwa...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI KUNUNUA MAFUTA YA GARI KUPITIA M PESA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya kulipia mafuta kwa Mpesa kwenye vituo vya mafuta vya Total nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Biashara wa Total Romee de Villeneuve. Uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dra es salaam.   Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) jinsi ya kulipia mafuta kwa Mpesa kwenye vituo vya mafuta vya Total muda mfupi baada ya...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YATOA MAFUNZO NAMNA YA KULIPIA MAFUTA KWA M PESA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiwapa mafunzo wahudumu wa kituo cha mafuta cha OilCom kilichpo katika makutano ya barabara ya Libya na Morogoro jijini Dar es salaam juu ya namna ya wateja wanaojaza mafuta kituoni hapo wanavyoweza kulipia kwa njia ya M-pesa. Huduma ya malipo kwa M-pesa inapatikana pia kwenye vituo vya OilCom vya TMJ Msasani na Kipawa. Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akimjulisha...

 

10 years ago

GPL

VODACOM KINARA WA KULIPA KODI SEKTA YA MAWASILIANO‏

Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, kombe la mshindi wa pili kwa walipa kodi wakubwa nchini wakati wa maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Vodacom imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini. Waziri…

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Vinjari na M PESA itakayowawezesha wateja wa mtandao huo kufanya malipo ya huduma katika sekta ya usafiri wa anga,mahoteli na utalii kwa njia ya kieletroniki huduma hiyo inapatikana kupitia tovuti ya vinjari,Wengine katika picha maafisa waandamizi...

 

10 years ago

GPL

NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (katikati),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Benki Tarajiwa ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank in-formation) kurahisisha ununuaji hisa kupitia huduma ya M-Pesa pamoja na kampuni ya Maxcom Africa kupitia huduma yake ya Maxmalipo, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ronald...

 

5 years ago

Michuzi

Huduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.


Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika 

Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...

 

11 years ago

Michuzi

VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA

Mkurugenzi wa Huduma Mbadala za Benki wa CRDB Joseph Witts akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kutoa pesa kwenye M-pesa kupitia ATM za benki bila kuhitaji kuwa na kadi wala akaunti ya beki hiyo. Wengine pichani ni Ofisa Mkuu wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacques Voogt na Meneje Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Ofisa Mkuu wa wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacque Voogt akittumia ATM ya Benki ya CRDB kutoa pesa kwenye akaunti ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani