VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s72-c/unnamed+(55).jpg)
Mkurugenzi wa Huduma Mbadala za Benki wa CRDB Joseph Witts akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kutoa pesa kwenye M-pesa kupitia ATM za benki bila kuhitaji kuwa na kadi wala akaunti ya beki hiyo. Wengine pichani ni Ofisa Mkuu wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacques Voogt na Meneje Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim.
Ofisa Mkuu wa wa Biashara Mtandao wa Vodacom Jacque Voogt akittumia ATM ya Benki ya CRDB kutoa pesa kwenye akaunti ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lMbA9p43fTU/VCq3QwQ7SuI/AAAAAAAGmvA/zKyN4vgQdL4/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
VODACOM NA BENKI YA TWIGA BANCORP ZAWALETEA HUDUMA YA "M-PESA SUPER AGENCY"
![](http://1.bp.blogspot.com/-lMbA9p43fTU/VCq3QwQ7SuI/AAAAAAAGmvA/zKyN4vgQdL4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfumyDtKCnM/VCq3QxVonkI/AAAAAAAGmvE/GrDAF5CT6mA/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Bongo516 Sep
Vodacom Tanzania yaanzisha huduma mpya ya ‘LIPA KWA M-PESA’
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItbAXO8zYdSsF9hKnaTz8E8PxI4a9QaeTla1VWZHu3TJSuUJWgg8FKmr2lxUhGiCne37AQxCebJPdbyK0yhEcm*l/001.VINJARI.jpg?width=650)
VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YABORESHA HUDUMA ZA SIMBANKING
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VNRnqIGxkTQ/U7Vcgga8gLI/AAAAAAAFumg/ZLKLAMM8yo8/s72-c/unnamed+(45).jpg)
CRDB WAFUNGUA HUDUMA ZA BENKI BABATI
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s72-c/1.jpg)
BENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA 'TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO'
![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uYWpe-7dr4k/Vmp5g2zGE5I/AAAAAAABlcI/aJImTjS_zFI/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uf3GYoslWlY/Vmp5k8Rj--I/AAAAAAABlcc/MrMmKLw5vkc/s640/7.jpg)
5 years ago
MichuziHuduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.
Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika
Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA INDIA DESK