CRDB WAFUNGUA HUDUMA ZA BENKI BABATI
.jpg)
Na Woinde Shizza,Manyara
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YABORESHA HUDUMA ZA SIMBANKING
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA INDIA DESK
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
11 years ago
MichuziBenki ya CRDB yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja

Wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la moshi. Wakikata keki kama maadhimo ya Wiki ya Wateja wa Benki ya CRDB.

Meneja Uhusiano wa Akaunti ya Tanzanite ya Benki ya CRDB, Lucy Naivasha akiwapa Champagne wateja wa...
10 years ago
Michuzi
MAWAKALA WA MAXMALIPO SASA KUTOA HUDUMA ZA BENKI YA CRDB

11 years ago
Michuzi.jpg)
VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA KAMPENI YA UTUMIAJI WA SimBanking NA FAHARI HUDUMA WAKALA
BENKI ya CRDB imezindua kampeni maalum ya utumiaji wa huduma zake kupitia simu za mkononi ‘SimBanking’ kupitia kwa mawakala wa ‘FahariHuduma’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei alisema lengo la kuanzisha kampeni hiyo ni kuwakumbusha wateja wake na watanzania wote kwa ujumla umuhimu wa kutumia njia hizo mbadala ili kupata huduma kwa...
11 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB TAWI LA MOSHI WAFURAHIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.



