MAWAKALA WA MAXMALIPO SASA KUTOA HUDUMA ZA BENKI YA CRDB
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHTFxHTJDEc/Va4WEfsAp9I/AAAAAAABd5U/5NHCL7KxPns/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.%2B19%2BJulai%2B22.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akibadilishana hati ya mkataba wa makubaliano na Mkurugenzi wa Maxcom Africa, Juma Rajabu baada ya uzinduzi wa huduma za ‘FahariHuduma wakala’ kupitia vituo vya Maximalipo. Hafla imefanyika leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei na Mkurugenzi wa Maxcom Africa, Juma Rajabu wakisaini hati ya mkataba wa makubaliano wa huduma za ‘FahariHuduma wakala’ kupitia vituo vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA NA KUTOA VIFAA TIBA KWA MANISPAA YA KONONDONI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9PVIraoTFzc/VOGWKgDDE1I/AAAAAAAHD6s/6GF1DKr4ozM/s72-c/IMG_6662.jpg)
NMB waanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo kwa Mafanikio
Huduma hiyo inayojulikana kama NMB Wakala itakuwa inapatikana kwenye maduka ya kawaida yenye huduma za MaxMalipo, inategemewa kusogeza huduma za benki hiyo mpaka vijijini na kuwa benki ya kwanza kuweza kupenya maeneo ya vijijini.
Kwa ajili ya kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi, NMB inafanya matangazo katika eneo la kigamboni...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YABORESHA HUDUMA ZA SIMBANKING
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VNRnqIGxkTQ/U7Vcgga8gLI/AAAAAAAFumg/ZLKLAMM8yo8/s72-c/unnamed+(45).jpg)
CRDB WAFUNGUA HUDUMA ZA BENKI BABATI
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...
9 years ago
MichuziMAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA INDIA DESK
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s72-c/unnamed+(55).jpg)
VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s1600/unnamed+(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vYI3pbqd8vc/U7Vo6IO2EMI/AAAAAAAFuqU/CJM_oDaGOUs/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA