NMB waanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo kwa Mafanikio
![](http://3.bp.blogspot.com/-9PVIraoTFzc/VOGWKgDDE1I/AAAAAAAHD6s/6GF1DKr4ozM/s72-c/IMG_6662.jpg)
BENKI ya NMB imeanza kutoa huduma zake kupitia mawakala wa MaxMalipo kwa mafanikio katika hatua ya majaribio inayoendelea Kigamboni – Dar es Salaam, Dodoma na Arusha.
Huduma hiyo inayojulikana kama NMB Wakala itakuwa inapatikana kwenye maduka ya kawaida yenye huduma za MaxMalipo, inategemewa kusogeza huduma za benki hiyo mpaka vijijini na kuwa benki ya kwanza kuweza kupenya maeneo ya vijijini.
Kwa ajili ya kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi, NMB inafanya matangazo katika eneo la kigamboni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9GEVsiYAY0U/VS_H7vNzSXI/AAAAAAAASbg/ESAlxWVuT8E/s72-c/b1.jpg)
PSPF YAZINDUA HUDUMA YA WANACHAMA WAKE KUWASILISHA MICHANGO KUPITIA MAXMALIPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-9GEVsiYAY0U/VS_H7vNzSXI/AAAAAAAASbg/ESAlxWVuT8E/s1600/b1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHTFxHTJDEc/Va4WEfsAp9I/AAAAAAABd5U/5NHCL7KxPns/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.%2B19%2BJulai%2B22.jpg)
MAWAKALA WA MAXMALIPO SASA KUTOA HUDUMA ZA BENKI YA CRDB
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHTFxHTJDEc/Va4WEfsAp9I/AAAAAAABd5U/5NHCL7KxPns/s640/Picha%2Bya%2BPg.%2B19%2BJulai%2B22.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s640/New%2BPicture.png)
UZINDUZI WA HUDUMA YA MAXMALIPO KWA KUTUMIA SIMU YA KIGANJANI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB:HUDUMA YA BIMA KUPITIA BENKI HUKUZA BIASHARA ENDELEVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza umuhimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB: Huduma ya bima kupitia benki hukuza biashara endelevu
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi, Biashara Ndogo na za Kati - Filbert Mponzi akizungumza na wateja waliohudhuria mkutano wa NMB Business Club kupata maoni yao kuhusu huduma na bidhaa za NMB.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Meneja wa Mikopo ya Nyumba NMB - Miranda Lutege akielezea mikopo ya nyumba wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Meneja Mwandamizi wa Bima wa Benki ya NMB Martine Massawe Akielezea kuhusu Bima ‘Bancassuarance’ wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s72-c/New%2BPicture.png)
Uzinduzi wa Huduma Mpya ya MaxMalipo kwa kutumia Simu ya Kiganjani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s640/New%2BPicture.png)
Maxcom Africa maarufu kama MaxMalipo ni kampuni ya kitanzania iliyoanzishwa mwaka 2010 ambayo imewekeza...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
NMB, MaxMalipo ‘wafunga ndoa’
BENKI ya National Microfinance (NMB) na Maxcom Tanzania wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara yatakayoiwezesha Benki hiyo kutumia mtandao wa mawakala wa Maxcom unaojulikana kama MaxMalipo. Akizungumza katika hafla ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_awDbbKInbI/Xl463t0Xt3I/AAAAAAALgs0/lHgf_wQFVnMa38NJTw6Wp5TKsnJbJoLKwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B13.53.57.jpeg)
MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO
Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.
Aidha amesema Madaktari bingwa...
11 years ago
Habarileo31 Jan
Waanza kutumia MaxMalipo kulipia ankara za maji
WAKAZI wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wameanza kutumia mashine za Maxmalipo kulipa bili zao za maji. Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Maxcom Africa, Athanas Leonce alisema mashine hizo zinaendelea kusambazwa kwa mawakala wao katika maeneo mbalimbali mjini Iringa.