Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NMB, MaxMalipo ‘wafunga ndoa’

BENKI ya National Microfinance (NMB) na Maxcom Tanzania wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara yatakayoiwezesha Benki hiyo kutumia mtandao wa mawakala wa Maxcom unaojulikana kama MaxMalipo. Akizungumza katika hafla ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NMB waanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo kwa Mafanikio

BENKI ya NMB imeanza kutoa huduma zake kupitia mawakala wa MaxMalipo kwa mafanikio katika hatua ya majaribio inayoendelea Kigamboni – Dar es Salaam, Dodoma na Arusha.
Huduma hiyo inayojulikana kama NMB Wakala itakuwa inapatikana kwenye maduka ya kawaida yenye huduma za MaxMalipo, inategemewa kusogeza huduma za benki hiyo mpaka vijijini na kuwa benki ya kwanza kuweza kupenya maeneo ya vijijini.
Kwa ajili ya kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi, NMB inafanya matangazo katika eneo la kigamboni...

 

9 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha jana. Massawe akimbusu mkewe. Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.…

 

10 years ago

Vijimambo

WAMAREKANI WAFUNGA NDOA KWENYE MLIMA KILIMANJARO

Managing Director of Zara Tours Company Zainab Ansell who organized the tour of the newly expected couple is seen here happy with the couple in Mount Kilimanjaro.Choir of St. Clara from Moshi was there to deliver Christians wedding songs during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro.Pastor Aloyce Mbugi (right) from TAG Arusha Victory Christian Centre reading a word of God during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro. Left is Mr. Isaya Mwashala who was an interpreter.The...

 

10 years ago

GPL

ELIKEM NA POKELLO WA BBA SEASON 8 WAFUNGA NDOA

Elikem Kumordzi na Pokello Nare katika pozi wakati wa ndoa yao. WAPENZI Elikem Kumordzi na Pokello Nare waliokutana katika Jumba la Big Brother Africa season 8 hatimaye wamefunga ndoa. Wapenzi hao wamefunga ndoa ya kimila iliyofanyika huko Harare, Zimbabwe wikiendi iliyopita. Wanandoa hao wamepanga kuwa na harusi mbili moja ikifanyika nyumbani kwa bibi harusi (Pokello) huko Zimbabwe na ya pili ikifanyika nyumbani kwa bwana...

 

10 years ago

GPL

WAMAREKANI WAFUNGA NDOA KATIKA MLIMA KILIMANJARO

 Kara Lee akimlisha keki mumewe Richard Miller mara baada ya kufunga ndoa katika Mlima Kilimanjaro juzi. RAIA wa Marekani Richard Miller na Kara Lee wamefunga ndoa ya kihistoria katika Mlima Kilimanjaro juzi na kuacha watu midomo wazi. Kara Lee akimvisha pete mumewe Richard Miller. Wanandoa hao waliwasili nchini wiki iliyopita na kuanza safari yao ya siku saba kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia njia ya Machame Septemba...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi

Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona

 

10 years ago

Michuzi

Sasa NMB kuwafikia wateja wake Mpaka Vijijini kupitia NMB Wakala

Banki ya NMB imeingia makubaliano na kampuni ya Maxcom kupitia mtandao wa mawakala wanaojulikana kama Max Malipo kwaajili ya kuanza kutoa huduma za kibenki. HUduma hii itakuwa inaitwa NMB Wakala na itakuwepo kwenye kila wakala wa MaxMalipo waliotapakaa nchi nzima.
Kuingia kwa MaxCom kwenye benki ya NMB kunamaanisha kuwa NMB itazidi kupanua Zaidi mtandao wao kwa kuingia hadi vijijini tofauti na benki zingine. Kupitia mawakala wa MaxCom, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka fedha kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

NMB YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI NA WANACHAMA WA NMB BUSINESS CLUBS JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa NMB Business Club Kanda ya Temeke Bw. Ezekiel Matimo Gutti akiongea  machache  kuhusu  NMB Business Club Wilaya  ya Temeke  tangu kuanzishwa  kwake.

 Mtoa mada kuhusu kodi kutoka kampuni ya ‘Tanscott Taxation Service Ltd’ Bw. Hirji Abdallah akielezea kuhusu ulipaji wa kodi wakati wa semina ya wajasiriamali iliyondaliwa na benki ya NMB .Semina hiyo ulihudhuriwa na wanachama zaidi ya 400 wa NMB Business Club kutoka Wilaya ya Kinondoni, Ilala na Temeke hivi karibuni jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani