Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAMAREKANI WAFUNGA NDOA KWENYE MLIMA KILIMANJARO

Managing Director of Zara Tours Company Zainab Ansell who organized the tour of the newly expected couple is seen here happy with the couple in Mount Kilimanjaro.Choir of St. Clara from Moshi was there to deliver Christians wedding songs during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro.Pastor Aloyce Mbugi (right) from TAG Arusha Victory Christian Centre reading a word of God during the holly wedding service in Mount Kilimanjaro. Left is Mr. Isaya Mwashala who was an interpreter.The...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAMAREKANI WAFUNGA NDOA KATIKA MLIMA KILIMANJARO

 Kara Lee akimlisha keki mumewe Richard Miller mara baada ya kufunga ndoa katika Mlima Kilimanjaro juzi. RAIA wa Marekani Richard Miller na Kara Lee wamefunga ndoa ya kihistoria katika Mlima Kilimanjaro juzi na kuacha watu midomo wazi. Kara Lee akimvisha pete mumewe Richard Miller. Wanandoa hao waliwasili nchini wiki iliyopita na kuanza safari yao ya siku saba kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia njia ya Machame Septemba...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza wakati wa kikao kilicho shirikisha Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Wabunge katika majimbo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Wakuu wa wilaya zinazopakana na mlima Kilimanjaro na mlima Meru,TANAPA na Idara ya Misitu,(kulia)ni kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Ibrahim Msengi.Naibu waziri wa TAMISEMI ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Siha ,akichangia wakati wa kikao cha kuanzishwa kwa mchakato wa uanzishwaji mfumo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.

Mhifadhi utalii katka hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akizungumza juu ya ofa iliyotangazwa na hifadhi hiyo ya kupanda mlima huo kwa siku moja na kurudi hadi kilele cha Shira.
Afisa masoko wa KINAPA ,Antypas Mgungusi akisistiza jambo wakati akizungumzia juu ya ofa ya safafri ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku akishauri wenye sherehe zao kutumia nafasi hiyo kupanda Mlima huo kwa ajili ya kufanya sherehe zao,alitaja sherehe ambazo zinaweza fanyika katika hifadhi hiyo ni pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa...

 

10 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA MASHUHURI MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO VICENT LASWAI APANDA MLIMA KILIMANJARO

Mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofsi za Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Mfanyabiashara Vicent Laswai akijadiliana jambo na Mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA) ,Erastus Rufungulo kabla ya kuaza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro. kulia ni mkurugenzi wa kampuni ya Topi Raisen Richard...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA Kilimanjaro watakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro

VIJANA wa mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro.

Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Moshi Vijijini, Innocent Melleck alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari juu ya mkakati wa kupambana na wimbi la vijana walio mitaani kwa kukosa ajira katika mkoa wa Kilimanjaro .  Melleck alisema anatarajia kuitisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NMB, MaxMalipo ‘wafunga ndoa’

BENKI ya National Microfinance (NMB) na Maxcom Tanzania wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara yatakayoiwezesha Benki hiyo kutumia mtandao wa mawakala wa Maxcom unaojulikana kama MaxMalipo. Akizungumza katika hafla ya...

 

9 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha jana. Massawe akimbusu mkewe. Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.…

 

10 years ago

GPL

ELIKEM NA POKELLO WA BBA SEASON 8 WAFUNGA NDOA

Elikem Kumordzi na Pokello Nare katika pozi wakati wa ndoa yao. WAPENZI Elikem Kumordzi na Pokello Nare waliokutana katika Jumba la Big Brother Africa season 8 hatimaye wamefunga ndoa. Wapenzi hao wamefunga ndoa ya kimila iliyofanyika huko Harare, Zimbabwe wikiendi iliyopita. Wanandoa hao wamepanga kuwa na harusi mbili moja ikifanyika nyumbani kwa bibi harusi (Pokello) huko Zimbabwe na ya pili ikifanyika nyumbani kwa bwana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani