Notice to NMB Bank Customers/ TAARIFA KWA WATEJA WA BENKI YA NMB
![](http://2.bp.blogspot.com/-f2WY1amni9U/U8zV237URoI/AAAAAAAF4TA/Fsqi-aiK1aA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TRtwv3lSrNM/VjpnKOHhjJI/AAAAAAAIEIg/bK1Jhd01m74/s72-c/images.png)
TAARIFA KWA WATEJA WA BENKI YA NMB NA UMMA KWA UJUMLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TRtwv3lSrNM/VjpnKOHhjJI/AAAAAAAIEIg/bK1Jhd01m74/s400/images.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLeSXwQMiow/VR1k-yBSicI/AAAAAAAHO-s/hjj3EbW0ff8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-02%2Bat%2B6.47.50%2BPM.png)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hIm8akmQXcGjqMa2FdEUHvT*GRJjVI-9MnXfHssig7n39kmYRRVQcG7XDfcxhO8k7SeoFdg5YBALbMP*wSGZcGlWpYAnG30H/TaarifaKwaWatejaNYERERE.jpg)
9 years ago
GPL05 Nov
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZCvfJ2TmN8/VH628tXa8pI/AAAAAAAG05Y/MfTK9OirFYs/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Sasa NMB kuwafikia wateja wake Mpaka Vijijini kupitia NMB Wakala
Kuingia kwa MaxCom kwenye benki ya NMB kunamaanisha kuwa NMB itazidi kupanua Zaidi mtandao wao kwa kuingia hadi vijijini tofauti na benki zingine. Kupitia mawakala wa MaxCom, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka fedha kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/YMtPI4SNIOc/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YATANGAZA HATUA ZA KUWAPUNGUZIA MZIGO WATEJA WAKE KUTOKANA NA JANGA LA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-n1rVO2KmE3Y/XsdLLX3L6EI/AAAAAAABMJo/Xpzbze7LJYUjiy4auVkX_eLKIG_d2kwWQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB , Ruth Zaipuna
· Hatua kuchukuliwa kulingana na mahitaji ya Wateja wa Biashara Ndogondogo na za Kati· Suluhisho pia kutolewa kwa Wateja Wakubwa
Dar es Salaam, Mei 21, 2020: Benki ya NMB Plc leo imetangaza unafuu wa ulipaji mikopo kwa Wateja wa Biashara ndogo na za kati (SME/MSME) na wakubwa ili kuwasaidia kukabiliana na madhara yaliyotokana na janga la COVID - 19 kwenye biashara zao. Hii ni jitihada ya benki katika kutoa ahueni kwa wateja wake...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,AMOS MAKALLA ASHIRIKI KIFUNGUA KINYWA NA WAFANYAKAZI PAMOJA NA WATEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA NELSON MANDELA-MOSHI
Pamoja na mafanikio hayo ameishauri benki hiyo kuendelea kuwa wabunifu wa bidhaa na kuendeleza huduma bora...