TAARIFA KWA WATEJA WA BENKI YA NMB NA UMMA KWA UJUMLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TRtwv3lSrNM/VjpnKOHhjJI/AAAAAAAIEIg/bK1Jhd01m74/s72-c/images.png)
Katika kufikia ahadi yetu iliyopo kwenye malengona dira ya benki ya kuwa taasisi ya fedha inayopendelewa zaidi nchini kupitia mtandao mpana wa matawi unaotoa huduma kwa gharama nafuu zaidi zenye kumlenga mteja na jamii ya watanzania,Tunapenda kuwataarifu wateja wetu na umma kwa ujumla kuwa matawi yetu yote yatafungwa siku ya Alhamisi Novemba 5, 2015 ili kupisha sherehe za kitaifa za kuapishwa kwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f2WY1amni9U/U8zV237URoI/AAAAAAAF4TA/Fsqi-aiK1aA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
9 years ago
GPL05 Nov
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hIm8akmQXcGjqMa2FdEUHvT*GRJjVI-9MnXfHssig7n39kmYRRVQcG7XDfcxhO8k7SeoFdg5YBALbMP*wSGZcGlWpYAnG30H/TaarifaKwaWatejaNYERERE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLeSXwQMiow/VR1k-yBSicI/AAAAAAAHO-s/hjj3EbW0ff8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-02%2Bat%2B6.47.50%2BPM.png)
9 years ago
Michuzi08 Dec
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s72-c/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWASILISHA MALALAMIKO YA WATEJA KWENYE TAASISI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s640/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
maombi yao ya kulipa mkopo mapema, kutozwa riba na gharama zingine kubwa wanapotaka kulipa mkopo mapema. Kutokana na malalamiko hayo, Benki Kuu ya Tanzania imewaagiza Watoa Huduma Ndogo za Fedha waliolalamikiwa kuchukuwa hatua zifuatazo:
1....
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIzOTStilZc/XqAzgmESd2I/AAAAAAALnz4/6xcVW2gwQQ0UTIRps2pRjRrOL1PHRX15ACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...