NMB: Huduma ya bima kupitia benki hukuza biashara endelevu
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi, Biashara Ndogo na za Kati - Filbert Mponzi akizungumza na wateja waliohudhuria mkutano wa NMB Business Club kupata maoni yao kuhusu huduma na bidhaa za NMB.
Meneja wa Mikopo ya Nyumba NMB - Miranda Lutege akielezea mikopo ya nyumba wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
Meneja Mwandamizi wa Bima wa Benki ya NMB Martine Massawe Akielezea kuhusu Bima ‘Bancassuarance’ wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB:HUDUMA YA BIMA KUPITIA BENKI HUKUZA BIASHARA ENDELEVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza umuhimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s72-c/5AA-2-1024x682.jpg)
HUDUMA ZA BIMA SASA KUPATIKANA KATIKA MATAWI YOTE YA BENKI YA NMB
![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s640/5AA-2-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2AA-8-1024x682.jpg)
5 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAJITOSA KWENYE UDHAMINI WA BIMA MARATHON 2020
5 years ago
CCM BlogNMB YAZINDUA HUDUMA YA BIMA ITAKAYOPATIKANA MATAWI YAKE YOTE NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9PVIraoTFzc/VOGWKgDDE1I/AAAAAAAHD6s/6GF1DKr4ozM/s72-c/IMG_6662.jpg)
NMB waanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo kwa Mafanikio
Huduma hiyo inayojulikana kama NMB Wakala itakuwa inapatikana kwenye maduka ya kawaida yenye huduma za MaxMalipo, inategemewa kusogeza huduma za benki hiyo mpaka vijijini na kuwa benki ya kwanza kuweza kupenya maeneo ya vijijini.
Kwa ajili ya kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi, NMB inafanya matangazo katika eneo la kigamboni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s72-c/photo1+(1).jpg)
Benki ya NBC yazindua Huduma ya Bima ya Bure ya Mkopo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s1600/photo1+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KpkZhLSwftk/U0Oi8mkWgiI/AAAAAAAFZQw/kh3ulEq0ZBo/s1600/photo2+(1).jpg)
9 years ago
MichuziMkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc ashinda Tuzo ya Biashara 2015
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4457.jpg)
BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_4457.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.
Benki ya NMB na kampuni ya Savings...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi
Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.
Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...