UZINDUZI WA HUDUMA YA MAXMALIPO KWA KUTUMIA SIMU YA KIGANJANI

Mkuu wa kitengo cha Biashara Maxcom Africa, Bw. Deogratius Lazari (katikati) akifafanuajJambo kwa waandishi wa habari (hawapo picha) wakati wa uzinduzi wa mfumo mpya wa kutoa huduma za Maxmalipo kwa kutumia simu ya kiganjani, wengine katika picha ni maoifisa wa Kampuni hiyo, kulia ni msimamizi wa Mauzo na Usambazaji kanda ya Mashariki Bw. Thomas Mwakalembile na Geofrey Mwakamyanda.  Maxcom Africa maarufu kama MaxMalipo ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Uzinduzi wa Huduma Mpya ya MaxMalipo kwa kutumia Simu ya Kiganjani.

Maxcom Africa maarufu kama MaxMalipo ni kampuni ya kitanzania iliyoanzishwa mwaka 2010 ambayo imewekeza...
10 years ago
Michuzi
NMB waanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo kwa Mafanikio
Huduma hiyo inayojulikana kama NMB Wakala itakuwa inapatikana kwenye maduka ya kawaida yenye huduma za MaxMalipo, inategemewa kusogeza huduma za benki hiyo mpaka vijijini na kuwa benki ya kwanza kuweza kupenya maeneo ya vijijini.
Kwa ajili ya kuhakikisha huduma hii inawafikia wengi, NMB inafanya matangazo katika eneo la kigamboni...
11 years ago
Habarileo31 Jan
Waanza kutumia MaxMalipo kulipia ankara za maji
WAKAZI wa Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake wameanza kutumia mashine za Maxmalipo kulipa bili zao za maji. Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Maxcom Africa, Athanas Leonce alisema mashine hizo zinaendelea kusambazwa kwa mawakala wao katika maeneo mbalimbali mjini Iringa.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.
Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...
11 years ago
GPL
10 years ago
Michuzi
MAWAKALA WA MAXMALIPO SASA KUTOA HUDUMA ZA BENKI YA CRDB

10 years ago
Michuzi
PSPF YAZINDUA HUDUMA YA WANACHAMA WAKE KUWASILISHA MICHANGO KUPITIA MAXMALIPO

11 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja



