Vodacom Tanzania yaanzisha huduma mpya ya ‘LIPA KWA M-PESA’
Vodacom Tanzania imezindua huduma mpya ya M-PESA ijulikanayo kama “LIPA KWA M-PESA – huduma hii mpya ya kisasa ni jumuishi ya mfumo wa malipo utakao wezesha makampuni, mawakala wa jumla na rejareja na wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia M-PESA. Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa (katikati) akiongea […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Sep
Voda yaanzisha huduma mpya ya lipa kwa M-Pesa
KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma mpya ya M-Pesa ijulikanayo kama 'LIPA KWA M-PESA' ambayo ni jumuishi ya mfumo wa malipo utakaowezesha makampuni, mawakala wa jumla na rejareja na wafanyabiashara wengine kulipia bidhaa zao kwa kutumia huduma ya M-Pesa.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s72-c/unnamed+(55).jpg)
VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s1600/unnamed+(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vYI3pbqd8vc/U7Vo6IO2EMI/AAAAAAAFuqU/CJM_oDaGOUs/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-t7VMUfCKj2Q/VBgjjVxRDqI/AAAAAAAGj8U/0Nqw6GUPS_Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0VS-N8LT0rq1gJppoC0n-FRm1tbg4oXQrgfJzxWcyp72nWxwLk3z850FgQuJ1STFeBrwVYLs3M7eKnly1kGKE*9/001.CHAI.jpg?width=650)
VODACOM YAANZISHA HUDUMA MAALUM KWA MAWAKALA WA JUMLA NA REJAREJA
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
CFAO Motors yaanzisha huduma mpya kwa wamiliki wa malori ya Mercedes Benz nchini
Msimamizi wa ufundi wa Magari aina ya Mercedes Benz kutoka kampuni ya CFAO Motors Bw. Winner Mushi (wa tatu kushoto) akionyesha matumizi ya kifaa maalum cha ukaguzi wa Malori ya Mercedes Benz (Star Diagnosis Machine) kwa baadhi ya mafundi na wasimamizi wa ufundi wa magari ya kampuni ya Bakhresa Group.
Bakhresa Group ni mmoja wapo wa wateja wa CFAO Motors ambao wanamiliki malori ya Mercedes Benz. Bw. Heico Herzog Mtaalamu wa ufundi (Flying Doctor) kutoka Mercedes Benz Ujerumani,(wa tatu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0426.jpg?width=640)
CFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItbAXO8zYdSsF9hKnaTz8E8PxI4a9QaeTla1VWZHu3TJSuUJWgg8FKmr2lxUhGiCne37AQxCebJPdbyK0yhEcm*l/001.VINJARI.jpg?width=650)
VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA
5 years ago
MichuziHuduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.
Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika
Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ3MvA-X-Bzb9nMHJY5YnWwwnB-SH-w3aoZa9t5w*50Nc4KjrS9mrMerE2ta*b4-XBwX7Yg07KiaxNKGNDiTXxqc/001.UTT.jpg?width=650)
WATEJA WA UTT KUNUFAIKA NA HUDUMA YA VODACOM M PESA