Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Instagram sasa ina watumiaji (active) zaidi ya milioni 400

Mtandao wa Instagram unaomilikiwa na kampuni ya Facebook, sasa umefikisha watumiaji zaidi ya milioni 400 duniani. Watumiaji wapya wa Instagram milioni 100 wameongezeka katika kipindi cha miezi tisa iliyopita na kuizidi Twitter yenye watumiaji milioni 316 active kila mwezi. Kampuni ya utafiti ya eMarketer imekadiria kuwa mapato yatokanayo na matangazo kwenye Instagram yatafikia dola bilioni […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Apple Music ina watumiaji milioni 15 — CEO

Huduma ya usikilizaji muziki mtandaoni ya Apple Music, imefikisha watumiaji milioni 6.5 wanaolipia, mwenyekiti mtendaji wa kampuni hiyo, Tim Cook amesema. Akiongea kwenye mkutano ulioandaliwa na The Wall Street Journal huko Laguna Beach, Calif., Cook alisema watumiaji wengine milioni 8.5 wanashiriki kwenye mpango wa majaribio wa miezi mitatu. Apple Music ilianzishwa June mwaka huu kwaajili […]

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa

Kampuni ya mawasiliano nchini ya Vodacom imendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.   Hayo yameelezwa na Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja, Upendo Richard wakati akizindua duka jipya la Vodacom maeneo ya Sinza Afrika Sana ambalo linakuwa ni la 18 kwa wilaya ya Kinondoni pekee na la 79 Tanzania nzima.   “Dhamira kubwa ya kusambaza maduka haya ni kusogeza na...

 

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

9 years ago

GPL

WATUMIAJI INSTAGRAM WASAIDIA WAGONJWA OCEAN ROAD

Mmiliki wa Twaiba Classic Centre akitoa michango kwa baadhi ya wagonjwa.
Wana-Instagram wakiwa katika picha ya pamoja nje ya Hospitali ya Ocean Road. KIKUNDI cha watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Instagram jijini Dar wanaounda umoja wa kusaidia wagonjwa katika hospitali kubwa jijini, wametoa msaada kwa wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road ikiwa ni moja ya taratibu walizojipangia. Wana-Instagram hao wanaoongozwa na mmiliki...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili


Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Active(Rwanda) — Active Love

active2

ACTIVE is music group from Rwanda founded in August 2013. The group that is made up of Dereck, Olvis and Tizzo started out as backup dancers for several artistes before complementing their dance skills with singing vocals.

active2

In March 2014, the crew won Salax Awards, a Rwandan music annual awarding event created in order to give respect and encouragement to the Rwandan artists and entertainers.

In August 2014, the crew won the fifth place in Primus Guma Guma Super Star Season 4. This year,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Active (Rwanda) — Active Love

active2

ACTIVE is music group from Rwanda founded in August 2013. The group that is made up of Dereck, Olvis and Tizzo started out as backup dancers for several artistes before complementing their dance skills with singing vocals.

active2

In March 2014, the crew won Salax Awards, a Rwandan music annual awarding event created in order to give respect and encouragement to the Rwandan artists and entertainers.

In August 2014, the crew won the fifth place in Primus Guma Guma Super Star Season 4. This year,...

 

10 years ago

Bongo5

Tidal ya Jay Z yafikisha watumiaji milioni moja

Jay Z ana haki ya kusherehekea kwa mafanikio yaliyotokana na mtandao wake wa Tidal. Rapper huyo alitumia Twitter kutangaza kuwa mtandao huo wa kusikiliza nyimbo umefikisha watumiaji milioni moja. “Nothing real can be threatened, nothing unreal exists. TIDAL is platinum. 1,000,000 people and counting. Let’s celebrate 10/20 Brooklyn,” alitweet. Tangu ianzishwe, TIDAL imekuwa ikikumbana na […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Watumia milioni 400/- kugharamia miradi ya kijamii

DSC00274

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua kituo cha kisasa cha polisi kata ya Mang’onyi wilaya ya Ikungi kilichojengwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 244 milioni.

DSC00272

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mang’onyi wilaya ya Ikungi kama sehemu ya uzinduzi wa mradi wa maji uliogharamiwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi 126.8...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani