Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.


Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya-Mgombea Urais wa UKAWA Kupitia CHADEMA Leo atakuwa Jijini Mbeya kwa ajili ya kutambulishwa na kusaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana

>Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Watanzania bado wanaishi maisha duni na kukosa ajira kutokana na mfumo wa Serikali uliopo wa kushindwa kutumia vyema rasilimali zilizopo kwa manufaa ya wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana

Mgombea Urais wa Chadema kwa tiketi ya Ukawa, Edward Lowassa amesema akiiangia madarakani atashughulikia suala la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana kwa kuhakikisha vijana wanajiunga na kwenye mafunzzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kupatiwa mafunzo ya ufundi stadi.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana kulipuka muda wowote

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa ameanza safari, ni ndefu kiasi gani?

>“Nimefarijika sana leo kuwaona hapa marafiki zangu wengi. Ninapowatazama hadi machozi yananitoka na kwa uwezo wa Mungu tutashinda kwani nyote mnajua nia na ndoto yangu…WanaCCM msiwe na shaka, tutavuka kwa nguvu zetu... Wingi wenu huu unanipa faraja katika safari yetu na kwa kumtegemea Mungu tutashinda.”  ni kauli ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

 

9 years ago

Vijimambo

HII NDIYO SIASA ONA MWENYEWE LOWASSA AKIMNADI KUBENEA


Juu ni Kubenea akinyanyuliwa mkono na Lowassa kunadiwa kwa kiti cha Ubunge Ubungo mwaka 2015. Chini ni makala aliyowahi kuandika Kubenea kuhusu Edward Lowassa.Mabilioni yatengwa kumsafisha Lowassa

Na Saed Kubenea
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya mkataba tata wa Richmond, Edward Lowassa ameelezwa kuwa na mradi wa karibu Sh. 8 bilioni wa “kujisafisha” na kumwingiza ikulu.Lowassa alipoulizwa na gazeti hili kuhusu mradi huo, alijibu kwa mkato, “Mimi sijui.”MwanaHALISI limeelezwa kwamba fedha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TSN yapongezwa kutengeneza ajira

SERIKALI imempongeza mwekezaji mzalendo wa kampuni za TSN kwa namna anavyoendelea kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kwa kuanzisha biashara mbalimbali ambazo hutengeneza nafasi za ajira. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni...

 

11 years ago

Dewji Blog

Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400

vodashop sinza

Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja  Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim.Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.

vodashop sinza 2

 Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuna nafasi ya kutengeneza ajira zaidi ya wanaume

Hivi karibuni Taasisi ya Kimataifa ya Global Entrepreneurship Monitor (GEM), ilitoa ripoti yake kuhusiana na kuongezeka kwa idadi ya wanawake wajasiriamali duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani