Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana

Mgombea Urais wa Chadema kwa tiketi ya Ukawa, Edward Lowassa amesema akiiangia madarakani atashughulikia suala la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana kwa kuhakikisha vijana wanajiunga na kwenye mafunzzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kupatiwa mafunzo ya ufundi stadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana kulipuka muda wowote

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa kuongeza ajira kupitia JKT, vyuo vya ufundi

MGOMBEA Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kuwa endapo atafanikiwa kuwa Rais atahakikisha vituo vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vinakuwa vyuo vya ufundi Stadi.

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.


Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya-Mgombea Urais wa UKAWA Kupitia CHADEMA Leo atakuwa Jijini Mbeya kwa ajili ya kutambulishwa na kusaka...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR

 Vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika semina ya jinsi ya kutafuta ajira kwenye taasisi mbalimbali wakati wa Maonesho ya Ajira kwa Vijana, kwenye Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wakijaza kwenye fomu za kutafuta ajira katika Banda la Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa Maonesho ya vijana wa vyuo ya kupata fursa ya ajira katika taasisi mbalimbali  (Careers Fair 2014) katika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam....

 

10 years ago

Dewji Blog

URAIS2015: Kwa Nini nimechagua kuzalisha ajira kuwa kipaumbele cha kwanza? — Kigwangalla

5edcc9e9

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.

Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha. Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Ajira kwa vijana

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Ajira kwa vijana appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

Uchumi washindwa kuzalisha ajira

LICHA ya uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

YDF inavyotengeneza ajira kwa vijana

TAKWIMU zinaonyesha kuna jumla ya vijana milioni 16,195,370 ambapo takribani vijana milioni 1.2  humaliza elimu ya vyuo mbalimbali kila mwaka na kati yao vijana 200,000 huajiriwa kwa mwaka.  Ikumbukwe kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani