Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Toyota yatengeneza gari linalojiendesha

Toyota imekuwa kampuni ya magari ya hivi karibuni kujaribu gari linalojiendesha bila dereva katika barabara ya uma.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Gari aina ya Toyota Verossa inauzwa

IMG-20140907-WA0009

Gari inauzwa kwa bei nzuri tu na ipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia mawasiliano hapo chini

SPECIFICATIONS ZA GARI HIYO NI

MAKER: TOYOTA

MODEL: VEROSSA

YoM:      2001

CC:       1980

Odo:   65,944KM

Color : BURGUNDY

KWA MAWASILIANO

0713327106/0756673327

 

 

10 years ago

Michuzi

GARI TOYOTA MARK II LINAUZWA KILIMANJARO

Gari aina ya Toyota Mark 11 ya mwaka 1992 inauzwa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Liko katika hali nzuri sana na tayari imetembea 52021KMS. Ni Manual, 1988cc. Bei ni shilingi  4.5m/- .kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0755 659929.

 

10 years ago

Dewji Blog

Gari aina ya TOYOTA Kluger inauzwa

IMG-20141021-WA0003

MODEL NI YA MWAKA 2002 TOYOTA KLUGER

UWEZO WA ENGINE NI 2360 CC

IMETEMBEA KILOMITA 170000

BEI NI MILIONI 17 MAELEWANO YAPO

MAWASILIANO NI 0713242888

 

9 years ago

BBCSwahili

Toyota ndio gari maarufu zaidi duniani

Kampuni ya kutengeneza magari ya Toyota imeipiku Volkswagen kutoka kwenye nafasi ya kwanza ya makampuni yaliyouza idadi kubwa ya magari mwaka huu

 

9 years ago

Dewji Blog

BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST

DSC00871

Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake,  Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania

DSC00877

Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12

DSC00875

Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST


DSC00871Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake,  Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la TanzaniaDSC00877Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
DSC00875Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe Hazina...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mercedes yazindua lori linalojiendesha

Wahandisi wamefanya majaribio ya lori linalojiendesha lenyewe huko Ujerumani

 

10 years ago

Habarileo

NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi

 Dk Mwele Malecela TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.

 

11 years ago

Habarileo

Vodacom yatengeneza ajira 400

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom imeendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake, huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani