Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Toyota ndio gari maarufu zaidi duniani

Kampuni ya kutengeneza magari ya Toyota imeipiku Volkswagen kutoka kwenye nafasi ya kwanza ya makampuni yaliyouza idadi kubwa ya magari mwaka huu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HUYU NDIO MWANAFUNZI MZEE ZAIDI DUNIANI ANAYESOMA SHULE YA MSINGI, ANA MIAKA 90

Gogo akiwa darasani na wanafunzi wenziwe.
Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita inaaminika ndiye mwanafunzi mzee zaidi anayesoma shule ya msingi duniani. 
Akiwa ameketi dawati la mbele kabisa darasani ,yuko darasa la tano na amevalia nguo za shule , Priscilla Gogo Sitienei anamsikiliza mwalimu anayefundisha kwa makini hukua akiandika majina ya wanyama kwa kiingereza kwenye daftari lake.Prissilla alijiunga na shule hii ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.







Herieth paul ndio mwanamitindo kutoka Tanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi duniani, Herieth anakaa jijini New York,Marekani kwasasa.Hawa ndio ma Models wanaofatia kwenye orodha hiyo2.Maria Borges- Angola3. Betty Adowele - (Nigeria,Uingereza)4. Ajak Deng - (Sudan Kusini)5. Roberta Analciso - (Angola)6. Malaika Firth - (Kenya)7. Liya Kebede- (Ethiopia)8. Candice swanepoel - (South Afrika)9.Fatma Said - (Somalia)10.Anais Mali -(Chad)

 

9 years ago

MillardAyo

Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani …

Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kama mchezo wa soka ndio mchezo unaoongoza kwa kupendwa duniani. Katika soka kuna list ya wachezaji ambao wanapendwa na mashabiki kutokana na vitu ambavyo wanafanya uwanjani. Imenifikia TOP 5 ya mastaa wa soka wanaoongoza kwa kupendwa duniani. Lionel Messi ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ndio anatufungulia list […]

The post Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani … appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Toyota yatengeneza gari linalojiendesha

Toyota imekuwa kampuni ya magari ya hivi karibuni kujaribu gari linalojiendesha bila dereva katika barabara ya uma.

 

11 years ago

Dewji Blog

London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow

london-690x388

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao

JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.

Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...

 

10 years ago

Michuzi

GARI TOYOTA MARK II LINAUZWA KILIMANJARO

Gari aina ya Toyota Mark 11 ya mwaka 1992 inauzwa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Liko katika hali nzuri sana na tayari imetembea 52021KMS. Ni Manual, 1988cc. Bei ni shilingi  4.5m/- .kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0755 659929.

 

10 years ago

Dewji Blog

Gari aina ya TOYOTA Kluger inauzwa

IMG-20141021-WA0003

MODEL NI YA MWAKA 2002 TOYOTA KLUGER

UWEZO WA ENGINE NI 2360 CC

IMETEMBEA KILOMITA 170000

BEI NI MILIONI 17 MAELEWANO YAPO

MAWASILIANO NI 0713242888

 

10 years ago

Dewji Blog

Gari aina ya Toyota Verossa inauzwa

IMG-20140907-WA0009

Gari inauzwa kwa bei nzuri tu na ipo Dar kwa atakayeipenda tuwasiliane kupitia mawasiliano hapo chini

SPECIFICATIONS ZA GARI HIYO NI

MAKER: TOYOTA

MODEL: VEROSSA

YoM:      2001

CC:       1980

Odo:   65,944KM

Color : BURGUNDY

KWA MAWASILIANO

0713327106/0756673327

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani