Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KATIKA MKUTANO WA 13 WA BODI YA USAJIRI YA WAHANDISI TANZANIA

 Katibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Banda la NCC katika mkutano wa 13 wa bodi ya Wahandisi TanzaniaKatibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ( wa kwanza kulia) akipata maelezo ya baadhi ya machapisho ya kitaalamu ya sekta ya Ujenzi yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi kutoka kwa  Mhandisi Julius Mwita.  Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi wakitoa maelezo ya shughuli za Baraza kwa Wahandisi waliotembelea katika banda la (NCC).  Wa kwaza kulia ni Afisa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI LATATUA ZAIDI YA MIGOGORO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10

 Kutoka kushoto ni Kaimu Mkuu wa Idara ya kumbukumbu na Habari John Haule, Afisa habari Mwandamizi wa baraza la Taifa la Ujenzi, Robertha Makinda, Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard Chamuliho akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na majukumu na mafanikio ya araza la Taifa la Ujenzi. kutoka kulia ni Afisa habari wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Shukuru Sekondo na Mkuu wa Idara ya Majengo, Julius Mamiro.Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)

Na Aron Msigwa  Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini.  Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi kwa mwaka 2015 jana  jijini Dar es salaam, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Wahandisi wanao mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kwa kuifanya mipango iliyo kwenye karatasi kuwa katika...

 

9 years ago

Michuzi

Baraza la Taifa la Ujenzi lapokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015

Frank Mvungi- Maelezo
Baraza la Taifa la Ujenzi limepokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015 kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia majukumu ya Baraza hilo katika kutatua Migogoro inayojitokeza katika Sekta hiyo, Mhandisi Chamuriho amebainisha kuwa migogogoro...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA TANZANIA (TNBC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO


  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi muda mfupi kabla ya kufungua na kuendesha mkutano wa nane wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania (TNBC) katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 2, 2015
 Rais Kikwete akiongoza mkutano wa nane wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania (TNBC) katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 2, 2015. Wengine toka kulia ni Katibu Mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI KUFUNGUA RASMI MAADHIMISHO YA 12 YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA.

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania yatakayofanyika tarehe 4 na 5 Septemba 2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Akitoa taarifa hiyo katika Ofisi ya Bodi ya Usajili wa Wahandisi, Mwenyekiti wa Maandalizi ya Bodi hiyo Mhandisi Bakari Mwinyiwiwa, amesema maadhimisho hayo yatakayobeba kauli mbiu isemayo “jukumu la wahandisi kwenye utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa” yana...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI AFUNGA RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA.

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wahandisi mbalimbali hawapo pichani kuhusu umuhimu wa Taaluma ya Uhandisi na Maendeleo nchini kabla ya kufunga mkutano huo wa mwaka uliondaliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi(ERB).Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wapili kutoka kulia akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Profesa Ninatubu Lema wakawanza kushoto pamoja na Mbunge wa Tunduru kaskazini, Mheshimiwa Ramo Makani wakikagua...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA UJENZI AFUNGA RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wahandisi mbalimbali hawapo pichani kuhusu umuhimu wa Taaluma ya Uhandisi na Maendeleo nchini kabla ya kufunga mkutano huo wa mwaka uliondaliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi(ERB).
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wapili kutoka kulia akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Profesa Ninatubu Lema… ...

 

10 years ago

Michuzi

Profesa Salome B. Misana Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Salome B. Misana (pichani) kuwa Mwenyekiti  mpya wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi  na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC).  Profesa Misana ni Mhadhiri Mwandamizi toka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam. Uteuzi huo umeanza rasmi tarehe 4/12/2014.
Wakati huo huo , Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira,  Dkt.  Binilith Mahenge amewateua Wajumbe  wa Bodi hiyo . Walioteuliwa ni Profesa Reuben...

 

10 years ago

Habarileo

Mkutano wa NHC, Baraza la Ujenzi kuwa Arusha Feb. 19

BARAZA la Ujenzi Endelevu na Utunzaji wa Mazingira Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), wameandaa mkutano wa kwanza utakaoshirikisha nchi Jumuiya wanachama wa Afrika Mashariki, kwa ajili ya kujadili masuala ya ujenzi unaozingatia mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani