Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza la Taifa la Ujenzi lapokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015

Frank Mvungi- Maelezo
Baraza la Taifa la Ujenzi limepokea migogoro 41 na kufanikiwa kuitafutia ufumbuzi katika kipindi cha mwaka 2015 kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia majukumu ya Baraza hilo katika kutatua Migogoro inayojitokeza katika Sekta hiyo, Mhandisi Chamuriho amebainisha kuwa migogogoro...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI LATATUA ZAIDI YA MIGOGORO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10

 Kutoka kushoto ni Kaimu Mkuu wa Idara ya kumbukumbu na Habari John Haule, Afisa habari Mwandamizi wa baraza la Taifa la Ujenzi, Robertha Makinda, Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard Chamuliho akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na majukumu na mafanikio ya araza la Taifa la Ujenzi. kutoka kulia ni Afisa habari wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Shukuru Sekondo na Mkuu wa Idara ya Majengo, Julius Mamiro.Afisa Mtendaji wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Dr. Leonard...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi

PIX 1 (1)

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.

PIX 3 (1)

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...

 

10 years ago

Michuzi

HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA

1Kaimu Mkuu wa Chuo Mzumbe Prof. Josephat Itika akizungumza katika hafla ya kikundi cha wahitimu wa chuo cha Mzumbe waliomaliza masomo katika kipindi kati ya mwaka 1992 na mwaka 1996 iliyofanyika jijini Dar es Salaam. 2Wahitimu wa chuo cha Mzumbe waliomaliza masomo katika kipindi kati ya mwaka 1992 na mwaka 1996 wakimsikiliza Prof. Josephat Itika wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam. 4Wana kamati waliondaliwa kwaajili ya kufungua shampeni wakati wa hafla hiyo. 5Naibu ...

 

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI KATIKA MKUTANO WA 13 WA BODI YA USAJIRI YA WAHANDISI TANZANIA

 Katibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea Banda la NCC katika mkutano wa 13 wa bodi ya Wahandisi TanzaniaKatibu Mkuu  Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ( wa kwanza kulia) akipata maelezo ya baadhi ya machapisho ya kitaalamu ya sekta ya Ujenzi yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi kutoka kwa  Mhandisi Julius Mwita.  Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi wakitoa maelezo ya shughuli za Baraza kwa Wahandisi waliotembelea katika banda la (NCC).  Wa kwaza kulia ni Afisa...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI CHA KWANZA KWA MWAKA HUU WA 2015

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri chakwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015.Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushotokwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
PICHA NA IKULU

 

10 years ago

Mwananchi

Tunaweza kufanikiwa zaidi mwaka 2015

Tukiutathmini mwaka uliopita tunapaswa kupata nguvu zaidi ya kutuwezesha kufanikiwa mwaka huu. Sehemu tulizokwama au kujikwaa ziwe mafunzo ya kujiboresha zaidi na kusonga mbele kwa umakini zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja

Mwezi Juni mwaka 2013, Rais Jakaya Kikwete alimteua Omari Issa kuwa mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani