Profesa Salome B. Misana Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eUewXoN0DUg/VJFoaPCV0DI/AAAAAAAG3zA/O98UWgjP2es/s72-c/04.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Salome B. Misana (pichani) kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC). Profesa Misana ni Mhadhiri Mwandamizi toka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam. Uteuzi huo umeanza rasmi tarehe 4/12/2014.
Wakati huo huo , Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira, Dkt. Binilith Mahenge amewateua Wajumbe wa Bodi hiyo . Walioteuliwa ni Profesa Reuben...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi13 May
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s72-c/images.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s200/images.jpg)
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma kuwa, Bodi mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Authority -TAWA), imeteuliwa rasmi kuanzia tarehe 09 mwezi Septemba, 2015. Katika uteuzi huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROFESA MBETTE KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s1600/New%2BPicture.png)
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa kifungu Na. 9 (4) (a) cha Sheria...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S4__H52NPr0/UuyTS2uNN1I/AAAAAAAFKCc/qdsQ2DOqZVM/s72-c/a1.jpg)
Kamati ya Ardhi,Maliasili na Mazingira watembelea hifadhi ya taifa ya Mkomazi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-S4__H52NPr0/UuyTS2uNN1I/AAAAAAAFKCc/qdsQ2DOqZVM/s1600/a1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-igGIFGUwF5w/UuyTTTZDxQI/AAAAAAAFKCU/tp8ihf568nw/s1600/a2.jpg)
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi, maliasili na mazingira wakitembelea eneo la mradi wa kufuga faru pamoja na Mbwa Mwitu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-cA6qEFzPI8c/UuyTSz_UAmI/AAAAAAAFKCE/ldMMMKkk01M/s1600/a11.jpg)
11 years ago
MichuziKamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Arusha
10 years ago
MichuziBODI YA KAHAWA(TCB) NA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA(TANAPA) WAIBUKA NA TUZO ZA PPF
11 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire
11 years ago
MichuziKamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10