TAARIFA YA UTEUZI WA BODI MPYA YA MAMLAKA YA USIMAMIZI NA UDHIBITI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII (SSRA)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Mar
SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI
11 years ago
Dewji Blog12 May
SSRA wahimizwa kujituma ili mifuko ya hifadhi ya jamii itoe taarifa sahihi kwa wanachama
Mkuu wa Wilayaya Singida, Queen Mlozi
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Wilaya ya Singida,Queen Mlozi ameihimiza Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kujituma zaidi katika kuhakikisha mifuko mbalimbali ya hifadhi ya jamii inatoa taarifa sahihi kwa wananchi na wanachama watarajiwa juu ya haki zao kabla hawajajiunga.
Amedai kwamba wananchi na wanachama watarajiwa wakizitambua vema haki zao hizo watakuwa wamejengewa uwezo wa kufikia maamuzi sahihi katika kujiunga na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s72-c/images.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s200/images.jpg)
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma kuwa, Bodi mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Authority -TAWA), imeteuliwa rasmi kuanzia tarehe 09 mwezi Septemba, 2015. Katika uteuzi huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tReSAQ3afuk/VW4JwfBtX1I/AAAAAAAHbgE/uRYbBz1gZPM/s72-c/IMG-20150602-WA0105.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tReSAQ3afuk/VW4JwfBtX1I/AAAAAAAHbgE/uRYbBz1gZPM/s72-c/IMG-20150602-WA0105.jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Semina ya uhabarisho wa shughuli za mamlaka ya usimamizi wa sekta ya hifadhi ya jamii katika picha.
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,akifungua semina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA).wa kwanza kushoto ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassani. na kulia ni mjumbe wa menejimenti na mkuu wa ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo.
Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA),Emmanuel Urembo akitoa mada yake ya uhabarisho juu wa SSRA kwa wadau wa mkoa wa Singida...
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII