Wahandisi nchini watahadharishwa
Wahandisi nchini wamekumbushwa kuwa makini kwa kutambua viashiria vya hatari na hasara zinazoweza kutokea katika miradi mbalimbali ya ujenzi wanayoisimamia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 May
Wahandisi nchini waonywa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AFKTjSb5zWE/VekU94gtIgI/AAAAAAAH2Ok/eVkcYaNowWQ/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wahandisi nchini washauri sera ya ujenzi izingatiwe
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s72-c/image_1.jpg)
BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bijrIIqPI8U/VcDXaZdgFcI/AAAAAAAHuCw/J8WGdJn524s/s640/image_1.jpg)
Picha na Aron Msigwa -MAELEZOBODI ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERD) imefanikiwa kutengeneza ajira 1600 kwa Watanzania kufuatia usajili wa makampuni 160 ya ushauri wa kihandisi yaliyoanzishwa nchini kote nchini katika kipindi cha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KjmoY7JsHk*M9HorM8ONuID4TyF2l5J1ZWhn*UaD4hgsGdWE-VSImkuvhhHtMyNRP8HV*sl8ITh90r4ex444Uwb/image1.jpg)
BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI TANZANIA
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jun
Watahadharishwa dhidi ya UKAWA
Na Chibura Makorongo, Shinyanga
WANACHAMA wa CCM na wananchi mkoani Shinyanga wametahadharishwa kutopotoshwa na kauli zinazotolewa na kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaopendekeza uwepo wa muundo wa serikali tatu.
Tahadhari hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa CCM mkoani Shinyanga, Adam Ngalawa, alipohutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Didia wilayani Shinyanga ambapo aliufananisha UKAWA na ndoa ya mkeka.
Ngalawa alisema UKAWA wamekuwa wakipita...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mtwara watahadharishwa na dengue
WANANCHI mkoani Mtwara wametakiwa kuchukua tahadhari wanapomuona mtu yeyote mwenye dalili za ugonjwa wa homa ya dengue kwa kumuwahisha hospitali ili afanyiwe vipimo mapema kwani dalili zake kama zinafanana na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Wapinga mapinduzi watahadharishwa
JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imewataka wanaopinga mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 waache kufanya hivyo kwa kuwa yalileta ukombozi wa umma, kufuta matabaka na ubaguzi. Kauli...
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Burundi: Wanafunzi watahadharishwa