Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahandisi nchini watahadharishwa

Wahandisi nchini wamekumbushwa kuwa makini kwa kutambua viashiria vya hatari na hasara zinazoweza kutokea katika miradi mbalimbali ya ujenzi wanayoisimamia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi nchini waonywa

Wahandisi na mafundi nchini wameonywa kutokubali kutumiwa na wanasiasa badala yake wafanye kazi kwa uadilifu na kwa kuzingatia taaluma zao.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)

Na Aron Msigwa  Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu katika maeneo mbalimbali nchini.  Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi kwa mwaka 2015 jana  jijini Dar es salaam, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Wahandisi wanao mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kwa kuifanya mipango iliyo kwenye karatasi kuwa katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi nchini washauri sera ya ujenzi izingatiwe

Shirikisho la Kampuni za Kihandisi Tanzania (TACECA) na wadau wengine wa sekta ya uhandisi wameeleza kutoridhishwa na mwendo wa kinyonga katika kutekeleza sera ya ujenzi (CIP) tangu ilipoundwa mwaka 2003.

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAKUZA AJIRA NCHINI.

Picha. Na.1. Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini Tanzania(ERB) Muhandisi Steven Mlope akiongea na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuelezea mafanikio ya Bodi hiyo katika kipindi cha miaka 10 hasa ukuzaji wa sekta ya ajira nchini Tanzania.
Picha na Aron Msigwa -MAELEZOBODI ya Usajili wa Wahandisi nchini Tanzania (ERD) imefanikiwa kutengeneza ajira 1600 kwa Watanzania kufuatia usajili wa makampuni 160 ya ushauri wa kihandisi yaliyoanzishwa nchini kote nchini katika kipindi cha...

 

9 years ago

GPL

BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya Siku ya Wahandisi Tanzania mwaka 2015 Prof.Bakari Mwinyiwiwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Wahandisi nchini itakayofanyika Septemba 3 mpaka 4 jijini Dar es salaam.Kulia ni Msajili wa Wahandisi nchini Tanzania Muhandisi Steven Mlote na kushoto ni Msajili msaidizi wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB) Muhandisi Benedict Mukama. Msajili wa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Watahadharishwa dhidi ya UKAWA


Na Chibura Makorongo, Shinyanga
WANACHAMA wa CCM na wananchi mkoani Shinyanga wametahadharishwa kutopotoshwa na kauli zinazotolewa na kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaopendekeza uwepo wa muundo wa serikali tatu.
Tahadhari hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa CCM mkoani Shinyanga, Adam Ngalawa, alipohutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Didia wilayani Shinyanga ambapo aliufananisha UKAWA na ndoa ya mkeka.
Ngalawa alisema UKAWA wamekuwa wakipita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtwara watahadharishwa na dengue

WANANCHI mkoani Mtwara wametakiwa kuchukua tahadhari wanapomuona mtu yeyote mwenye dalili za ugonjwa wa homa ya dengue kwa kumuwahisha hospitali ili afanyiwe vipimo mapema kwani dalili zake kama zinafanana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga mapinduzi watahadharishwa

JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imewataka wanaopinga mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 waache kufanya hivyo kwa kuwa yalileta ukombozi wa umma, kufuta matabaka na ubaguzi. Kauli...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi: Wanafunzi watahadharishwa

Serikali ya Burundi imewataka Wanafunzi kuondoka chuoni kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani