Watahadharishwa dhidi ya UKAWA
Na Chibura Makorongo, Shinyanga
WANACHAMA wa CCM na wananchi mkoani Shinyanga wametahadharishwa kutopotoshwa na kauli zinazotolewa na kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaopendekeza uwepo wa muundo wa serikali tatu.
Tahadhari hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa CCM mkoani Shinyanga, Adam Ngalawa, alipohutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Didia wilayani Shinyanga ambapo aliufananisha UKAWA na ndoa ya mkeka.
Ngalawa alisema UKAWA wamekuwa wakipita...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Oct
Vijana wa CCMÂ watahadharishwa dhidi ya Vurugu
Vijana na wapenzi wa chama cha Mapinduzi wametakiwa kujihadhari na kujiepusha na vikundi vinavyoashiria kufanya fujo wakati wa uchaguzi hali ambayo inaweza kusababisha vurugu zitakazoharibu amani ya nchi.
Wanafahamishwa kwamba Uchaguzi ni hatua moja ya kujenga nchi kuelekea katika maendeleo hivyo si vyema wananchi wakaingia katika majaribu yatakayogharimu mustakbali wa maisha na nchi yao.
Akiwa katika kampeni za chama cha mapinduzi akiwanadi wagombea uwakilishi na madiwani katika jimbo la...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N0E995uYEuc/VlMM4ZyHphI/AAAAAAAIIA4/KK5hHIYXEZA/s72-c/6963c632-48de-4624-aa18-d001d66b589b.jpg)
wananchi watahadharishwa dhidi ya bidhaa feki za IVORI
![](http://4.bp.blogspot.com/-N0E995uYEuc/VlMM4ZyHphI/AAAAAAAIIA4/KK5hHIYXEZA/s320/6963c632-48de-4624-aa18-d001d66b589b.jpg)
Kampuni ya Ivori Iringa haijaubadilisha muonekano wa pipi zake wala Nembo yake,Hakikisha kila pipi unayonunua ina nembo halisi ya Ivori kutoka Iringa.kwa yeyote atakaenunua na Kutumia bidhaa zinazofananishwa na Pipi za...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s72-c/DSC_4297.jpg)
UKAWA WACHARUKA, WASEMA HATUA ZA JK DHIDI YA WATUHUMIWA SAKATA LA ESCROW HAZITOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s640/DSC_4297.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Mtwara watahadharishwa na dengue
WANANCHI mkoani Mtwara wametakiwa kuchukua tahadhari wanapomuona mtu yeyote mwenye dalili za ugonjwa wa homa ya dengue kwa kumuwahisha hospitali ili afanyiwe vipimo mapema kwani dalili zake kama zinafanana na...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Waandishi wa habari watahadharishwa
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
JUKWAA la Wahariri (TEF), limewataka waandishi wa habari kuchukua tahadhari, hasa wakati huu wa uchaguzi kwa kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia maadili ya taaluma yao.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Christopher Lissa, kudaiwa kupigwa wakati akipiga picha za watu wanaodaiwa kujifanya ni wanachama wa Chadema walioandamana kwenda makao makuu ya chama hicho kuunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu, Dk....
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Watahadharishwa kuepuka magonjwa
WAKAZI wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa malaria ili kupunguza idadi ya vifo vya watoto na wajawazito. Kauli hiyo imetolewa jana na Kaimu...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wahandisi nchini watahadharishwa
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Wapinga mapinduzi watahadharishwa
JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imewataka wanaopinga mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 waache kufanya hivyo kwa kuwa yalileta ukombozi wa umma, kufuta matabaka na ubaguzi. Kauli...