Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtwara watahadharishwa na dengue

WANANCHI mkoani Mtwara wametakiwa kuchukua tahadhari wanapomuona mtu yeyote mwenye dalili za ugonjwa wa homa ya dengue kwa kumuwahisha hospitali ili afanyiwe vipimo mapema kwani dalili zake kama zinafanana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.


Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli  Tanzania (TPDC). Huu ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi nchini watahadharishwa

Wahandisi nchini wamekumbushwa kuwa makini kwa kutambua viashiria vya hatari na hasara zinazoweza kutokea katika miradi mbalimbali ya ujenzi wanayoisimamia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi: Wanafunzi watahadharishwa

Serikali ya Burundi imewataka Wanafunzi kuondoka chuoni kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watahadharishwa kuepuka magonjwa

WAKAZI wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa malaria ili kupunguza idadi ya vifo vya watoto na wajawazito. Kauli hiyo imetolewa  jana na Kaimu...

 

9 years ago

Mtanzania

Waandishi wa habari watahadharishwa

Pg 2 kibandaNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

JUKWAA la Wahariri (TEF), limewataka waandishi wa habari kuchukua tahadhari, hasa wakati huu wa uchaguzi kwa kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia maadili ya taaluma yao.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Christopher Lissa, kudaiwa kupigwa wakati akipiga picha za watu wanaodaiwa kujifanya ni wanachama wa Chadema walioandamana kwenda makao makuu ya chama hicho kuunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu, Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga mapinduzi watahadharishwa

JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imewataka wanaopinga mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 waache kufanya hivyo kwa kuwa yalileta ukombozi wa umma, kufuta matabaka na ubaguzi. Kauli...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Watahadharishwa dhidi ya UKAWA


Na Chibura Makorongo, Shinyanga
WANACHAMA wa CCM na wananchi mkoani Shinyanga wametahadharishwa kutopotoshwa na kauli zinazotolewa na kikundi cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaopendekeza uwepo wa muundo wa serikali tatu.
Tahadhari hiyo ilitolewa juzi na Katibu wa CCM mkoani Shinyanga, Adam Ngalawa, alipohutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Didia wilayani Shinyanga ambapo aliufananisha UKAWA na ndoa ya mkeka.
Ngalawa alisema UKAWA wamekuwa wakipita...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14

View this document on Scribd

PICHA

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

 


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani