Serikali kutoa kipaumbele uwezeshaji wanawake
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema serikali za awamu zote nne za uongozi zimekuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha zinatoa kipaumbele katika masuala yanayohusu uwezeshaji wanawake kwenye nyanja zote ili kuleta usawa wa kijinsia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Feb
WAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI
![DSC_0935](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0935.jpg)
Na Damas Makangale
WAMILIKI Wote wa maeneo ya biashara nchini wameombwa kutoa nafasi ya maeneo ya biashara kwa wajasirimali wanawake ili...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0935.jpg)
WAMILIKI WA MAENEO YA BIASHARA WAOMBWA KUTOA KIPAUMBELE KWA WANAWAKE WAJASIRIMALI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovDFG1lioHBi6cRx7voFxYIoGzjwwqe5d7i4QgvyQv5bffkpTLzAUOZ5ievGOCPTXzI4jcfbd0Mt-cD*Rr5Ye3TU/image.jpg?width=650)
SERIKALI KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAHANDISI WAZALENDO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_x81dJ2AS_Q/XmegHoK-jnI/AAAAAAALidA/GeIEGKWcij4v432f4NJADGMpLrn8dGe6gCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-26.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUTOA VIPAUMBELE KWA WANAWAKE KIUCHUMI, KIELIMU NA KIUONGOZI
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake kitafa akibonyeza kitufe katika kompyuta mpakato kwa ajili ya kupinga king'ora ili kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho hayo jana ( Machi 6) ambayo kilele chake ni machi 8, mwaka huu ,katika uwanja wa Jamhuri wa Morogoro ( anayepiga makofi) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana ( kulia) ni Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa ,...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Amani na uwezeshaji kiuchumi vitainua wanawake: Pindi Chana
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Xx_QZPcexeSz-lYL3STUb5v3jXymjKx0RanzvChTIZB0Z0OS1KR0Hd-FkfgM5QU8E7Z3JO8f4BgurcXDVLVLcX_bvOERcKOCF6Hmq4-AUN5rGTm8W7M3VJUPqEVRMMZE7d8aqZBK=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Chana.jpg)
Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/video capture)Ulinzi kwa wanawake na uwezeshaji kuchumi ni muhimu katika ustawi wa wanawake amesema Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya redio ya Umoja wa Mataifa muda mfupi baada ya kuhutubia kikao cha baraza la usalama kilichojadili azimio namba 1325 kuhusu...
11 years ago
Habarileo20 Dec
SMZ kutoa kipaumbele masomo ya gesi, mafuta
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itatoa kipaumbele kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita kupata mikopo katika Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu kwa wanafunzi watakaopenda kusomea masomo ya rasilimali ya mafuta na gesi.
10 years ago
VijimamboTIB KUTOA MIKOPO KWA VIJANA; ZOEZI KURATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI (NEEC)
Katika makubaliano hayo TIB itatoa mikopo hiyo ambapo kwa kuanzia kiasi cha shilingi bilioni 1 kimetengwa kwa ajili ya mpango huo utakaoratibiwa na NEEC ambayo itakuwa na jukumu la kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana hao ikiwa ni pamoja na kusaidia namna ya...
9 years ago
StarTV11 Nov
Rais Magufuli ashauriwa kuwapa kipaumbele wanawake
Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini wamemshauri Rais John Magufuli kutekeleza ahadi zake kwa vitendo ikiwemo kuteua wanawake zaidi katika nafasi za juu za uongozi.
Wanaharakati hao wamemsisitiza Rais Magufuli kuunda Baraza la Mawaziri lenye sura za usawa wa kijinsia ili kuondoa mfumo dume katika uamuzi.
Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu, wananchi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu baraza jipya la mawaziri, ambapo wanaharakati wa kutetea haki za wanawake...