Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI ITAKAMILISHA MIRADI YOTE YA KIPAUMBELE-MAJALIWA



WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itatoa msukumo wa kipekee katika kukamilisha miradi ya kipaumbele na kimkakati inayoendelea kutekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili wananchi waendelee kupata huduma bora.
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itashirikiana na sekta binafsi kuleta mageuzi kwa kutekeleza kwa kasi mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini (yaani Blue Print for Business Environment).
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Juni 15, 2020)...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA-TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA MADHEHEBU YOTE NCHINI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zuberi Bin Ally (kulia) wakati aliposhiriki katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A.W. , Mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es salaam, Februari 16, 2020. Wa pili kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Al Hadi Musa.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zuberi Bin Ally katika kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mohammad S.A.W , Mtaa wa Indira...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI IWEKE KIPAUMBELE KWENYE LISHE

Katibu Mtendaji wa Shirika lisilokua la kiserikali la ANGONET lenye makao makuu  jijini Arusha ,Petter Bayo (kulia)  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya masuala ya lishe na kuitaka serikali iweke vipaumbele katika lishe ili kutokomeza matatizo ya udumavu na utapiamlo,Katikati ni Mratibu wa Angonet ,Petro Ahham ,kushoto ni Jovitha Mlay mwanachama wa shirika hilo(habari picha na libeneke la kaskazini blog)
Serikali imetakiwa kuweka vipaumbele katika masuala ya lishe ili...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kutoa kipaumbele uwezeshaji wanawake

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaWAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema serikali za awamu zote nne za uongozi zimekuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha zinatoa kipaumbele katika masuala yanayohusu uwezeshaji wanawake kwenye nyanja zote ili kuleta usawa wa kijinsia.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuhamia Dodoma bado kipaumbele cha Serikali?

Mjadala kuhusu Serikali kuhamia Dodoma juzi uliibua mapya bungeni kwa baadhi ya wabunge kusema hicho siyo tena kipaumbele cha Taifa, huku wengine wakisema azima ya Serikali kuhamia Dodoma lazima ibaki palepale.

 

10 years ago

GPL

SERIKALI KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KWA WAHANDISI WAZALENDO

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Wahandisi kutoka maeneo mbalimbali nchini wakati wa ufunguzi wa Siku ya Wahandisi nchini mwaka 2015 jijini Dar es salaam. Baadhi ya Wahandisi wahitimu kutoka katika vyuo na taasisi mbalimbali wakila kiapo cha utii kwa Taaluma yao mbele ya Kamishna wa Viapo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi yanayoendelea jijini Dar es salaam.… ...

 

9 years ago

CCM Blog

PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA

 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa
Mke wa waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...

 

10 years ago

Vijimambo

BAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na Muelekeo wa Bajeti ya mwaka 2015-2016, imetowa kipaumbele katika Sekta ya Afya Barabara na Elimu, kulia Mhasibu Mkuu wa Serekali Ndg Omar Hassan King na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Juma Ameir, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Afya Vuga Zanzibar.
Maofisa wa WEizara ya Fedha wakifuatilia mazungumzo hayo ya Waziri Omar na Waandishi wa habari katka ukumbi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kutonunua mazao yote

SERIKALI imesema haina mpango wa kununua mazao yote yanayozalishwa na wakulima, bali wanaweza kutafuta masoko yao wenyewe. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani