BAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na Muelekeo wa Bajeti ya mwaka 2015-2016, imetowa kipaumbele katika Sekta ya Afya Barabara na Elimu, kulia Mhasibu Mkuu wa Serekali Ndg Omar Hassan King na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Juma Ameir, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Afya Vuga Zanzibar.
Maofisa wa WEizara ya Fedha wakifuatilia mazungumzo hayo ya Waziri Omar na Waandishi wa habari katka ukumbi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE

Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
‘Bajeti sekta ya afya, elimu zaongezeka kila mwaka’
SERIKALI imesema bajeti za sekta za afya na elimu zimekuwa zikiongezeka mwaka hadi mwaka sambamba na ukuaji wa uchumi. Naibu wa Fedha, Saada Mkuya Salum, alibainisha hayo bungeni jana alipokuwa...
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
10 years ago
MichuziSerikali yatangaza kutenga bajeti zaidi kwenye tafiti za afya.
5 years ago
CCM BlogDC MPYA ARUSHA AWAAMBIA MADAKTARI JINSI SERIKALI YA JPM ILIVYOLETA MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA AFYA
DC Kihongosi aliyasema hayo juzi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi kwa madaktari na watoa huduma ya afya ambayo aliyafungua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta.
Mafunzo hayo...
10 years ago
Michuzi.jpg)
SIKU YA WALEMAVU DUNIANI ZANZIBAR YASHEREHEKEWA KITAIFA CHAKE CHAKE, PEMBA
.jpg)
.jpg)