Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke wa Tanga akutwa na bangi Zanzibar

MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Mwanaisha Is-haqa Ayoub (40) mkazi wa Tanga anashikiliwa na polisi baada ya kukamatwa na mafurushi 22 ya majani makavu yanayosadikiwa kuwa ni bangi akitoka Tanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke akutwa amekufa gesti

WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio matatu tofauti, akiwemo mwanamke asiyefahamika jina anayekadiriwa kuwa na miaka 25-30 aliyekutwa amefariki katika nyumba ya kulala wageni huku...

 

9 years ago

GPL

MWANAMKE AKUTWA NDANI KWA MTU

Mwandishi wetu, Mwanza MAUZAUZA! Mwanamke mmoja mtu mzima, ambaye jina lake halikufahamika mara moja amekutwa akiwa ndani ya nyumba ya mtu pasipo kueleweka namna alivyoingia, kwani milango yote ilikuwa imefungwa kwa ndani.
Tukio hilo lilijiri hivi karibuni majira saa 2 asubuhi maeneo ya Majengo, wilayani Misungwi, mkoani Mwanza na kujaza watu wengi. Shuhuda wa tukio hilo aliliambia gazeti hili kuwa walisikia kelele za mtu...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA MWANAMKE NA UCHUMI SASA KUHAMIA TANGA

 Mkurugenzi wa Angels Moments inayoendesha Kampeni ya Mwanamke na Uchumi, Naima Malima akitoa hotuba ya ufunguzi wa kampeni hiyo iliyofanyika mkoani mwanza hivi karibuni. Kampeni hiyo yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wanawake wajasiriamali ambapo kampeni hiyo itafanyika mkoani Tanga Mwezi Oktoba. Picha na Angels Moments. Mshairi maarufu bibi sauda akitoa burudani ya mashairi yake adhimu kwa lugha ya kufurahisha na burudani kwa wanawake wajasiliamali katika kampeni ya mwanamke na uchumi...

 

5 years ago

CCM Blog

MWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR


Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo. Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi Fomu za kugombea Urais wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama wa mitindo Asia Idarous kupamba siku ya Mwanamke Duniani Zanzibar Machi 22

11072283_933753296658934_392071823375109477_n

..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarab

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Machi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.

Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo ...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KUPAMB SIKU YA MWANAMKE DUNIANI ZANZIBAR MACHI 22

11072283_933753296658934_392071823375109477_n..burudani kutolewa na Baby J, Coconut na Zanzibar One Modern taarabNa Andrew ChaleMachi 22 mwaka huu Kisiwa cha Unguja, Zanzibar kinatarajiwa kuwa na tukio moja kubwa litakalowakutanisha Wanawake mbalimbali na kusheherekea siku ya Mwanamke Dunia, ndani ya ukumbi wa Bwawani Hoteli.
Katika tukio hilo, linatarajiwa kuwa pia na shamra shamra ikiwemo za mitindo ya mavazi kutoka kwa gwiji wa mitindo Nchini, Mama Asia Idarous Khamsin atakaye onesha mavazi mbalimbali siku hiyo akiwa sambamba na ...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUHUSU WAGONJWA WAWILI WA CORONA WA ZANZIBAR WALIOTOKEA MKOANI TANGA.

Jana baada ya taarifa rasmi ya Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar - Mhe Hamad Rashid Mohamed kuelezea kuwa wamepata wagonjwa wawili wa Corona wote wakitokea Tanga, tayari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga na vyombo vya usalama vimefanya jitihada za ziada kuweza kuwabaini wagonjwa hao. 
Mmoja, ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 aliyeingia Zanzibar tarehe 18 March kupitia bandari ya Mkokotoni amethibitika kuwa ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Bushiri kutoka Wilaya ya Pangani. Wa...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR

Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake.  Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…

 

11 years ago

GPL

TUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI

Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani