TAARIFA KUHUSU WAGONJWA WAWILI WA CORONA WA ZANZIBAR WALIOTOKEA MKOANI TANGA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-2JjREyKho-g/XotrG1VE1BI/AAAAAAALmQ8/y7BNt99JADghaKLwnN5zkQeYuBJ2_br1ACLcBGAsYHQ/s72-c/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
Jana baada ya taarifa rasmi ya Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar - Mhe Hamad Rashid Mohamed kuelezea kuwa wamepata wagonjwa wawili wa Corona wote wakitokea Tanga, tayari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga na vyombo vya usalama vimefanya jitihada za ziada kuweza kuwabaini wagonjwa hao.
Mmoja, ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 aliyeingia Zanzibar tarehe 18 March kupitia bandari ya Mkokotoni amethibitika kuwa ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Bushiri kutoka Wilaya ya Pangani. Wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Wagonjwa 23 wa corona wathibitishwa Zanzibar, wawili wafariki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vzlvz6kBlfY/XqfiW9iAbKI/AAAAAAALobs/9oQz_YXr6iQ-3938_Ky3wWKIGzYL6kjlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
5 years ago
MichuziDAR YABAKI NA WAGONJWA WAWILI WA CORONA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAZIRI wa afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hadi sasa Mkoa wa Dar es Salaam umesalia na wagonjwa wawili pekee wa virusi vya Corona (COVID-19) waliopo katika hospitali za umma na binafsi na kueleza kuwa hali hiyo imepelekea kurejeshwa kwa huduma katika hospitali ya Amana pamoja na kituo cha Mloganzila.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akifungua kituo cha kitaifa cha Afya Mtandao cha Wizara ya Afya kilichopo...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WAWILI WA CORONA WAONGEZEKA
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa waimarishe ulinzi kwenye vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kuwaweka watu wote wanaoingia nchini na wahakikishe hakuna anayetoka ili kuepuka kusambaa kwa virusi vya corona.
Waziri...
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona:Wagonjwa wapya 15 wa corona waripotiwa Zanzibar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Taarifa ambazo si sahihi kuhusu corona zimetapakaa Afrika?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TQCirbeO0MU/XnMyoEyvEPI/AAAAAAALkaE/149j_KgFnXEpgnEOOAQg066tEVI_ok3jQCLcBGAsYHQ/s72-c/37ab4138-e6de-4f0f-b57e-5b0bcddf18b7.jpg)