DAR YABAKI NA WAGONJWA WAWILI WA CORONA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAZIRI wa afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hadi sasa Mkoa wa Dar es Salaam umesalia na wagonjwa wawili pekee wa virusi vya Corona (COVID-19) waliopo katika hospitali za umma na binafsi na kueleza kuwa hali hiyo imepelekea kurejeshwa kwa huduma katika hospitali ya Amana pamoja na kituo cha Mloganzila.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akifungua kituo cha kitaifa cha Afya Mtandao cha Wizara ya Afya kilichopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Wagonjwa 23 wa corona wathibitishwa Zanzibar, wawili wafariki
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WAWILI WA CORONA WAONGEZEKA
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa waimarishe ulinzi kwenye vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kuwaweka watu wote wanaoingia nchini na wahakikishe hakuna anayetoka ili kuepuka kusambaa kwa virusi vya corona.
Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2JjREyKho-g/XotrG1VE1BI/AAAAAAALmQ8/y7BNt99JADghaKLwnN5zkQeYuBJ2_br1ACLcBGAsYHQ/s72-c/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
TAARIFA KUHUSU WAGONJWA WAWILI WA CORONA WA ZANZIBAR WALIOTOKEA MKOANI TANGA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-2JjREyKho-g/XotrG1VE1BI/AAAAAAALmQ8/y7BNt99JADghaKLwnN5zkQeYuBJ2_br1ACLcBGAsYHQ/s640/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
Mmoja, ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 aliyeingia Zanzibar tarehe 18 March kupitia bandari ya Mkokotoni amethibitika kuwa ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Bushiri kutoka Wilaya ya Pangani. Wa...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona : Wagonjwa wawili wapona Tanzania huku 14 zaidi wakipata maambukizi Kenya
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11