WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WAWILI WA CORONA WAONGEZEKA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema jana (5 Aprili, 2020) wagonjwa wawili wa corona wameongezeka, hivyo Tanzania ina jumla ya watu 22 waliothibitishwa kuwa na homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) na kwamba wote wanaendelea vizuri.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Mikoa waimarishe ulinzi kwenye vituo vyote vilivyotengwa kwa ajili ya kuwaweka watu wote wanaoingia nchini na wahakikishe hakuna anayetoka ili kuepuka kusambaa kwa virusi vya corona.
Waziri...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 284
![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mara ya mwisho Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alitoa taarifa kuwa jumla ya visa vya wagonjwa wa Corona ilikuwa 254 baada ya Wagonjwa 84 kuongezeka
Aidha, Waziri Mkuu amesema jumla ya watu 2,815 waliokuwa karibu na Wagonjwa wamefuatiliwa afya zao ambapo kati yao, watu 1733 hawana...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s640/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kaasim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) wakati alipokagua hospitali ya wilaya ya kibaha iliyopo eneo la Lulanzi ambayo imetengwa kwa ajili ya kuwahuduma kwa wagonjwa wa Coroma, Machi 28, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo na wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Bakari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7625AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7628AAAA-1024x697.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wanne wa Corona waongezeka Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLPGlaADW-w/XpbC5GNBqJI/AAAAAAALnAo/PFhiXakVTDAEtYY1q3vdHWBuacvmbKNHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-15%2Bat%2B11.08.33%2BAM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rXCNo2Kqzw/XqlNx6Mkm3I/AAAAAAALoig/47-ElDlL2vIyoCWvcszMNsbW7Ljr7nxhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-8.jpg)
WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI
Na WAJMW-Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dkvo-J-2TP4/Xosx9vOYvWI/AAAAAAALmLk/L5XOqF-owsU_6fZLrlO9lllVQYoisfBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B4.36.22%2BPM.jpeg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA
WAZIRI MKUU: WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 24, WATATU WAMEPONA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi leo, hapa nchini kuna wagonjwa 24 waliothibitika kuwa na ugonjwa wa Homa...